Godlove jaxon
Member
- Jan 23, 2013
- 49
- 7
Aya karibuni jamvini kwa tathmini zaidi
Aya karibuni jamvini kwa tathmini zaidi
Haya mambo ni usanii tuu iweje hakimu huyo huyo atoe hukumu ya kwanza na asimamie tena hukumu ya rufaa? Tafakari, chukua hatua!!!!!!!!!!!!
Matokeo hayajabadilika kwa
asilimia 99.9. Wanafunzi watatu (3) ndio waliobadilishiwa. Walikataa
rufaa kwa masomo ya Chemistry, History, na Biology. Masomo yote awali
walipata F, sasa wote wamepata D. Japo nimepia kurasa zote 93 za CSEE;
za awamu ya kwanza ila naweza kuwa nimekosa umakini kidogo, nimekosea
katika uchambuzi wangu uniwie radhi.
Je Bujugo (Mkurugenzi wa Green Acress S. S) hajatoa kauli? Nasubiri,
kama kuna, awamu ya pili.
we umeshayaona? Kwa sababu sina adobe pdf reader siwez kuyasoma
asante sana bado tunakalibisha tathmini zaidi ila necta dah bado wizi mtupuuuuuu
Matokeo hayajabadilika kwa asilimia 99.9. Wanafunzi watatu (4) ndio waliobadilishiwa. Walikataa rufaa kwa masomo ya Chemistry, History, Biology, na Hesabu. Masomo yote awali walipata F, sasa wote wamepata D. Japo nimepia kurasa zote 93 za CSEE; za awamu ya kwanza ila naweza kuwa nimekosa umakini kidogo, nimekosea katika uchambuzi wangu uniwie radhi.
Je Bujugo (Mkurugenzi wa Green Acress S. S) hajatoa kauli? Nasubiri, kama kuna, awamu ya pili.
nimepitia kurasa zote 93 za awamu ya kwanza, nimeona katika maoni kuwa hakuna mabadiriko katika matokeo ya awali. Je waliofeli zaidi Nipashe iliyatoa wapi.
rukaaragata