Ninavyofahamu huwa yanatangazwa pamoja na matokeo ya kidato cha nne, tega sikio kufutilia matokeo ya kidato nne na hayo utayasikia tujamani kuna yeyote anayejua matokeo ya mtihani wa QT 2012 yanatoka lini? maana kuna mtoto ananisumbua sana. napata habari mkanganyiko, mara yameshatoka mara hayajatoka, anybody, somebody, help!
Thanks Kamili Gado na Dancani, Mungu awabariki, nimeona matokeo leo, bahati nzuri wametoa kwa majina, unfortunately mtoto niliyekuwa namsupport ili ainuke amefeli, and she has no one to blame but herself, alipewa all options. tunatafuta other alternatives!Naona MAMA YUVA umeamua kupiga kikoloni kabisa ili wanaokuandama wajue kwamba wewe sio QT. ok kama mdau alivyojibu hapo juu yakitoka tu ya fom4 basi check na QT utayakuta