Matokeo ya plan ya kuiua CHADEMA katika picha

Matokeo ya plan ya kuiua CHADEMA katika picha

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,702
Matokeo haya hayakutegemewa.. nadhani heri wasinge tumia mabilion kwa kazi hii ambayo imefeli
FB_IMG_1596824368596.jpeg
 
jaman mimi lisu ukiacha kama mwanadamu mwenzangu ambae anawezakulingana na baba yangu lakini sija ona lolote toka kwake kama tunavyo aminishwa kwamba wengi wa watanzania mioyo yao ipo kwake, bado ninakukmbu kumbu za docter slaa na lowasa ilikua hivi hivi na kuzidi lakini matokeo yake leo hii wanaoneka kama taka taka katika ulimwengu wa siasa, na si shaka na huyu nae, sijui vijana nini kinatukwamisha!!!
 
Una matatizo
jaman mimi lisu ukiacha kama mwanadamu mwenzangu ambae anawezakulingana na baba yangu lakini sija ona lolote toka kwake kama tunavyo aminishwa kwamba wengi wa watanzania mioyo yao ipo kwake, bado ninakukmbu kumbu za docter slaa na lowasa ilikua hivi hivi na kuzidi lakini matokeo yake leo hii wanaoneka kama taka taka katika ulimwengu wa siasa, na si shaka na huyu nae, sijui vijana nini kinatukwamisha!!!
 
Chadema akili zao kama za vitoto vya chekechea
 
jaman mimi lisu ukiacha kama mwanadamu mwenzangu ambae anawezakulingana na baba yangu lakini sija ona lolote toka kwake kama tunavyo aminishwa kwamba wengi wa watanzania mioyo yao ipo kwake, bado ninakukmbu kumbu za docter slaa na lowasa ilikua hivi hivi na kuzidi lakini matokeo yake leo hii wanaoneka kama taka taka katika ulimwengu wa siasa, na si shaka na huyu nae, sijui vijana nini kinatukwamisha!!!

Acha kuongea uwongo labda humfahamu hao akina dk slaa na Lowasa waliwapigania wananchi kwa kuwatetea lini kabla ya kugombea. Lisu ameanza kuwatetea wachimbaji wa madini miaka mingi wakati wa serikali ya awamu ya tatu ni mwanaharakati ambaye amekuwa akitetea watu wanaonewa na serikali miaka yote, kutokana na huo ujasiri wake pamoja na uwezo mkubwa alionao wa kujenga hoja ndiyo maana ilipangwa auawe sababu kulikuwa na hofu kuwa atataka kugombea maana CDM huwa mgombea siyo lazima kuwa Mwenyekiti wa chama.
 
naona ndugu wajumbe wamehamia kwa lissu kumfanya kitu mbaya kama waliyowahi kumfanya mzee slaa na lowasa 😂😂😂😂

siasa hizi mtu akipita mitandaoni anaweza kujihisi october anahamia chamwicho

kumbe kwa ground vitu ziko different
 
Back
Top Bottom