Matokeo ya plan ya kuiua CHADEMA katika picha

Matokeo ya plan ya kuiua CHADEMA katika picha

jaman mimi lisu ukiacha kama mwanadamu mwenzangu ambae anawezakulingana na baba yangu lakini sija ona lolote toka kwake kama tunavyo aminishwa kwamba wengi wa watanzania mioyo yao ipo kwake, bado ninakukmbu kumbu za docter slaa na lowasa ilikua hivi hivi na kuzidi lakini matokeo yake leo hii wanaoneka kama taka taka katika ulimwengu wa siasa, na si shaka na huyu nae, sijui vijana nini kinatukwamisha!!!
Kula kulala huwa hamjifichi
 
jaman mimi lisu ukiacha kama mwanadamu mwenzangu ambae anawezakulingana na baba yangu lakini sija ona lolote toka kwake kama tunavyo aminishwa kwamba wengi wa watanzania mioyo yao ipo kwake, bado ninakukmbu kumbu za docter slaa na lowasa ilikua hivi hivi na kuzidi lakini matokeo yake leo hii wanaoneka kama taka taka katika ulimwengu wa siasa, na si shaka na huyu nae, sijui vijana nini kinatukwamisha!!!
Hata usipo mpenda lkn mamilioni ya Watanzania wapo naye na wapo tayari kumchagua kuwa rais wa Tanzania
 
Acha kuongea uwongo labda humfahamu hao akina dk slaa na Lowasa waliwapigania wananchi kwa kuwatetea lini kabla ya kugombea. Lisu ameanza kuwatetea wachimbaji wa madini miaka mingi wakati wa serikali ya awamu ya tatu ni mwanaharakati ambaye amekuwa akitetea watu wanaonewa na serikali miaka yote, kutokana na huo ujasiri wake pamoja na uwezo mkubwa alionao wa kujenga hoja ndiyo maana ilipangwa auawe sababu kulikuwa na hofu kuwa atataka kugombea maana CDM huwa mgombea siyo lazima kuwa Mwenyekiti wa chama.
Ubarikiwe sana mzalendo mwenzetu wa kweli
 
Hakuna lolote , CHADEMA imezidi kusinyaa kuliko ilivyokuwa kabla ya 2015. Kuna vitu nchi hii ni very overrated kama CHADEMA, Membe na Lisu, jamani hakuna kitu hapo, ngoja uchaguzi upite tuone tathmni ya matokeo.

Mtaji pekee wa ushawishi wa CHADEMA umebaki mitandaoni, ile nguzo yake kuu (harakati / maandamano) imeshabalansiwa vizuri kabisa na wananchi kwa sasa ni wachache mno wenye utayari wa hayo mambo. Wacha muda uende labda kuna wakati kale kaglory walikokuwa nako katarudi lakini kusema kweli kwa sasa upepo hauko uelekeo wao, ni ubishi tu na kujifariji ndicho kinachotumika hapa lakini kwa wanaoona ukweli, CHADEMA wakati sio wenu.
 
Wananchi wengi sana wanachuki na ccm! Safari hii hawadanganyiki , watawapiga spana tu. Mnajifanya wapole wakati wa uchaguzi tu!!!
 
Back
Top Bottom