Mla Mbivu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 224
- 48
Wakuu kuna mwenye taarifa za interview ya utumishi ambayo tulifanyia uhasibu kurasini na wengine walifanya ifm tangu mwezi wa 3 kama sikosei.
Mimi nilifanya ya nafasi ya systems administrator, lakini mpaka leo naona kimya.
Kuna mwenye taarifa, pia walifanyiwa interview registration officers zaidi ya 300 je waliitwa??
Mimi nilifanya ya nafasi ya systems administrator, lakini mpaka leo naona kimya.
Kuna mwenye taarifa, pia walifanyiwa interview registration officers zaidi ya 300 je waliitwa??