October 29
JF-Expert Member
- Nov 5, 2024
- 3,143
- 4,445
Hivi matokeo ya form 2 yametoka au la?mbona naperuzi kwenye website yao sioni kitu.
Sikuhizi hawatoi ghafla. Huwa inatolewa taarifa kabisa muda Fulani siku Fulani Baraza litakuwa linatangaza matokeoHivi matokeo ya form 2 yametoka au la?mbona naperuzi kwenye website yao sioni kitu.
ndiomaana siyaoni mtandaoniSikuhizi hawatoi ghafla. Huwa inatolewa taarifa kabisa muda Fulani siku Fulani Baraza litakuwa linatangaza matokeo
Duara kubwa ni tarehe za jumla. Duara dogo ni tarehe ambazo lazima uwe umesha pata matokeo au taarifa yoyote kuhusu matokeo hayo.ndiomaana siyaoni mtandaoni
Nilisikia kwamba hata ambao wamefeli wataendelea tu na masomo mpaka kidato Cha nne.Sikuhizi hawatoi ghafla. Huwa inatolewa taarifa kabisa muda Fulani siku Fulani Baraza litakuwa linatangaza matokeo
Wanu hafidh ameir atalitolea ufafanuzi hiliNilisikia kwamba hata ambao wamefeli wataendelea tu na masomo mpaka kidato Cha nne.
Kama ni kweli Kuna ulazima Gani wa kutoa haya matokeo ya Sasa hivi? Nauliza tu
Ipo ivyo kumbe!Nilisikia kwamba hata ambao wamefeli wataendelea tu na masomo mpaka kidato Cha nne.
Kama ni kweli Kuna ulazima Gani wa kutoa haya matokeo ya Sasa hivi? Nauliza tu
Hivi matokeo ya form 2 yametoka au la?mbona naperuzi kwenye website yao sioni kitu.
Sisi kama wazazi lazima presha ipande 🤣Mitihani wafanye wengine presha iwapande wengine 😹😹
Hujiamini kama ulizaa genius 😹😹Sisi kama wazazi lazima presha ipande 🤣
Watoto wengine ni viazi mkuu kichwani 🤣Hujiamini kama ulizaa genius 😹😹
Kipindi niko form four uncle wangu akapiga simu anaulizia matokeo nikamuuliza kwani ana mtoto kamaliza form 4? 😹😹😹
Akamind nikabaki namshangaa NECTA nifanye mimi, matokeo ya miswaki yangu apewe yeye thubutuuu..!! 🤣😹😹
Hapana usimkatie tamaa inawezekana naye ubongo wake mzito au hapati ushirikiano mzuri na walimu wake..!!Watoto wengine ni viazi mkuu kichwani 🤣
Hapa Kuna toto la kike kubwa kubwa naangalia matokeo yake hapa amefeli 🤔
Kila siku asubuhi kuomba buku la kula shule 🤔.
Tusubirie wamtie mimba tu maana hakuna namna.
Ila nasikia wataendelea na masomo mama Samia amewaruhusu hata kama wamefeli
Muwezesheni katika hilo, halafu hivyo vitu sasa hivi ndio vina pesa..!!Sijamnenea mabaya mkuu.
Ila siyo mbaya yeye binafsi anapenda mambo ya urembo, ususi anasuka vizuri sana, ni mchoraji mzuri wa Heena, n.k
Tutamsaidia katika hayo, Elimu ya darasani kwake haipandi
Yeah katika hili tutamuwezesha.Muwezesheni katika hilo, halafu hivyo vitu sasa hivi ndio vina pesa..!!
Ajira zenyewe hakuna basi tafrani masters zinazunguka kitaa tu..!!