Matokeo ya CUF Vs Pro Lipumba

Matokeo ya CUF Vs Pro Lipumba

Mmanga2

Senior Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
110
Reaction score
28
Katika masomo wanaheleza Siasa ni Sayansi ila sasa imebadilika na imekuwa siasa ni mchezo.Ukicheza vizuri utashinda na ukicheza hovyo ndo mwisho wa mchezo wako katika tasnia ya mchezo huu wa siasa.

Nimekuwa nikifatia update katika vyombo vya habari mbali mbali hususani katika sakata la CUF na Mwenyekitii wa Mh. Prof Lipumba.Siwezi kutabili mwisho wake nini maana siasa sasa sio sayansi tena ni mchezo. Kaka mkubwa mtatiro amekua akitoa update nyingi kupitia ukurasa wake Facebook na baahati nzuri/ au mbaya mzee wetu Prof yeye amekuwa akitulia tu sijasikia akijibu tuhuma kutoka upande mwingine.Ila imekuwa tofauti na upande mwingine wao wamekuwa wakideal sana Mzee huyu Prof, pale anapokuwa anapita kweny mikutano yake wao wanakuja kusawazisha, ni nguvu gani inayoogopwa???

Wadau wengi wamekuwa wakitoa maoni yao kuhusu kukaa na kuyazungumzaa ya kahahisha kichama zaidi,ni njia nzuri tu. Ila kunajambo linanishangaza hata himi kuhusu usalama wa ndani wa vyama hivi, hivi walishindwa nini kuyanzungumzaa ndani mpaka yatoke njee??Huu ni udhaifu mkubwa kushindwana kumalizana ndani na kutuletea hadhira kufahamu mambo yenu.

Msingi wngu mkuu ni matokeo ya pande hizi mbili kati ya CUF na Prof Lipumba. Kaka mtatiro alishajitabilia ushindi zaidi kwamba CUF watashinda katika majaribu hayo ila ajehelezea ni lini au ni kwanamna gani maana siku zinazidi kwenda hivyoo... Mimi nawatakia heri wote,atakaye shinda arudi mchezoni ili nihendelehe kujifunza vitu vingi kwao.

Mwisho ni hitimishe hivi "
  1. na endapo ikatokea CUF wakashinda basi itakuwa mwisho na kuporomoka kisiasa kwa Prof Lipumba itamuhitaji mdaa kidogo mpaka alejehe kwenye medalii hizi za siasa kama mtu mwenye nguvu na mwenye chama chenye nguvu
  2. na endapo ikatokea Prof Lipumba akashinda,basi huu nahisi utakuwa mvutano mkubwa wa ndani ya chama,kuporomoka kwa CUF,kufa kwa UKAWA na imani ya watu juu ya chama hicho kupungua.
kama mahamuzi ya busara yatafanyika wanaweza kukwepa note hizo mbili, ila kama kila mmoja akataka haonyeshe ubabe wake sitoshanga note hizo kutokea na mengine makubwa zaidi ya hayo
 
Kiswahili kimekuwa kigumu hivo Siku hizi? Huyu mwandishi sijui katokea pande zipi za huko bara! Haeleweki kabisaa! Siyo lazima kila mtu achangie, wengine someni tu comments walizo andika wanao jua kujenga hoja na Lugha fasaha wanaijua. Wengine mnatochosha!
 
Kiswahili kimekuwa kigumu hivo Siku hizi? Huyu mwandishi sijui katokea pande zipi za huko bara! Haeleweki kabisaa! Siyo lazima kila mtu achangie, wengine someni tu comments walizo andika wanao jua kujenga hoja na Lugha fasaha wanaijua. Wengine mnatochosha!
Wala hicho si kiswahili cha bara labda katokea Burundi
 
Mahamuzi ,ajehelezea,haonyeshe, tuhendelehe duuuu!
Fikiria mtu kama huyu na yeye anachangia hoja. Nadhani Ni vizuri aelekeze nguvu na muda wake mwingi kujifunza kiswahili kwanza ndio baadae akijua aje J f.
 
Huyu jamaa ameandika vizuri tu ila hili jukwaa linawatu wengi wagumu kuelewa wepesi kusahau.
 
Wanaheleza, nikifatia, tabili, baahati, kuhahisha, kuyanzungumza, kushindwana kumalizana, njee,ajehelezea, nihendelehe, mdaa, alejehe, medalii, mahamuzi, note, haonyeshe.

Mkubwa japo una ujumbe mzuri ila nenda kwanza kozi ya kiswahili
 
Kiswahili kimekuwa kigumu hivo Siku hizi? Huyu mwandishi sijui katokea pande zipi za huko bara! Haeleweki kabisaa! Siyo lazima kila mtu achangie, wengine someni tu comments walizo andika wanao jua kujenga hoja na Lugha fasaha wanaijua. Wengine mnatochosha!
Shauri yako,utavimba upasuke...tinti...mpaka utambue uwepo wa wenzako.
 
Wewe ni CCM toka lini ukashauri upinzani nini cha kufanya?Acha unafiki bhana!😡
 
Umeacha bure usingizi wako kuleta uzi kama huu saa 7:30 usiku
 
Back
Top Bottom