TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanabodi,Nimetafakari kwa umakini mkubwa sana juu ya ushindi wa CHADEMA pale Arumeru mashariki.Pamoja na nguvu ya CDM,lakini uwepo wa magamba kwenye timu ya kampeni za CCM Kulichagiza ushindi wa M4C.Angalia uwdepo wa BWM,ENL,LUSINDE[MATUSI NI UFISADI],WASIRA[UONGO NI UFISADI],NAGU,MAJIMAREFU,SENDEKA[UNAFIKI NI UFISADI],MUKAMA[UNBFIKI],NAPE[WOGA NI UFISADI].BORA JK HAKUHUSIKA.