Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Mkuu zamwamwa zimebaki ngapi hapo?Achana na hii hesabu 5 zilizobaki kumalizia round ya kwanza
Yanga vs Biashara utd
Ruvu shooting vs Yanga
Mbeya city vs Yanga
Africa Lyon vs Yanga
Azam fc vs Yanga
Hapo katika points 15 mkijitaidi Sana mnapata 7