severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,397
Ukizubaa wanakuzamishaYanga tiamajitiamaji
Ukizubaa wanakuzamishaYanga tiamajitiamaji
Bado 4 japo Leo chupuchupu refa kawabeba
Walianza kusema subiri waanze kutoka njeLeo mmekuja na upepo?, upepo unapoendelea kupita anza kutafuta maneno mengine maana hili nalo kufikia round ya 20 litapotea kama zilizotangulia
Bahati ni Kama unavyoona Yanga timi mbovu lakini wanaambulia ushindiKwa wenye kumbukumbu mtambua kipindi cha Manji timu ilipokuwa inashinda kila mechi walikuwa wanasema wananua mechi. Ila sasa tajiri hayupo wanagwaya kusems tunanunua mechi maana wanajua tutahoji kiaje na mnatukejeli hatuna pesa. Sasa kutafuta pakutokea wanajificha kwenye kivuli cha upepo.
Eti Yanga inashinda kwa bahati na hapo hapo akikaa na masela wenzake kijiweni anawaambia bahati haiji mara mbili. Mbona Yanga kashinda zaidi ya mara mbili?! Utaitaje bahati?!
Anyway BAHATI ni nini?!
bahati?Bahati ni Kama unavyoona Yanga timi mbovu lakini wanaambulia ushindi
Bahati gani hiyo inayojirudia zaidi ya mara kumi?Bahati ni Kama unavyoona Yanga timi mbovu lakini wanaambulia ushindi
Umehamia kwenye bahati. DuuuhBahati ni Kama unavyoona Yanga timi mbovu lakini wanaambulia ushindi
Mikimikiani,taabu sanalabda niseme kitu muhimu kuhusu simba na mashabiki wake ni kuwa,
droo/sare/suluhu baina yake na lipuli imewa athiri sana kisaikolojia, imewaumiza mno, imewachanganya sana. tena hayakuwa mategemeo yao hata kidogo.
ila niwashauri kwa kuwa wao wame doda wasituombee mabaya wana yanga maana malengo yao na sisi yanafanana, kwamba ni kuchukua ubingwa. over!!
Sijui kama atakuwa na jibu hapa.Bahati gani hiyo inayojirudia zaidi ya mara kumi?
Andaa sumu unywe.Wadau wengi wa soka wamekuwa kwakishangaa timu ya Yanga kupata matokeo mazuri ligi kuu huku bado haijafungwa mchezo wowote licha ya kukweli kwamba wanna kikiosi kibovu Sana
Kwenye mpira tunaita upepo mzuri huwa ni kipindi Cha mpito yaani Kila kitu unachofanya ni sahihi yaani hata msipofunga wapinzani watajifunga.
Naona mashabiki was Yanga wanampa sifa kibao kocha Mwinyi Zahera ila mtakuja kumkataa mbeleni huko hili BOOM likiisha
Kila mtu atashinda kwa uwezo wake sio upepo tena
View attachment 946088
Kwani walirudisha dakika za nyongeza?, au ni dakika zipi unatakiwa ufunge ili usiwe kwenye kundi la kuponea chupuchupu?Kwani bahati kujirudia ni dhambi? Chupuchupu jana
Mbona hyo bahati haiendi kwa SimbaRutty ambayo ni mbovu pia!?Bahati ni Kama unavyoona Yanga timi mbovu lakini wanaambulia ushindi
Hujaona Papaa Heritier Makambo kaweka kimiani mwamuzi kakataa? Na atafungiwa yule shauri yakeHujaona tuta madogo walinyimwa?