nikessy
Member
- May 18, 2013
- 12
- 2
matokeo haya yanatisha na utaratibu wa kushusha viwango vya ufaulu kutoka 30 hadi 20 waweze kuendelea kidato cha tatu, huku waliofeli kwa mara ya pili wakipewa nafasi ya kurudia tena. matokeo yake tutayaona kwa kushuka ufaulu kidato cha nne mwaka 2015.
ndio tunaboresha kweli hapo wadau?
ndio tunaboresha kweli hapo wadau?