Kinachoendelea sasa ni kuwa ndani ya hiki chumba cha kujumlishia kura ccm wanasema kuwa tuanze kuhesabu matokeo ya kituo kwa kituo na walipotakiwa kutoa fomu za matokeo wanasema kuwa hawana kwani mawakala wao walitekwa na kunyanganywa fomu hizo .
Na wanataka yahesabiwe masanduku ya kata ya Kalenge ambayo yamefikishwa mjini asubuhi hii baada ya kutokufikishwa jana kama inavyotakiwa huku tume ikisema kuwa gari hilo liliharibika njiani, wasiwasi ni kuwa huenda mabox yalibadilishwa, malumbano yanaendelea .
Kwa hiyo haya yasiyokuwa na error ni matokeo ya nani?Reason: Matokeo ya Zitto yalikuwa na errors
Soma 1st post Gabu...Kwa hiyo haya yasiyokuwa na error ni matokeo ya nani?
Kinachoendelea sasa ni kuwa ndani ya hiki chumba cha kujumlishia kura ccm wanasema kuwa tuanze kuhesabu matokeo ya kituo kwa kituo na walipotakiwa kutoa fomu za matokeo wanasema kuwa hawana kwani mawakala wao walitekwa na kunyanganywa fomu hizo .
Na wanataka yahesabiwe masanduku ya kata ya Kalenge ambayo yamefikishwa mjini asubuhi hii baada ya kutokufikishwa jana kama inavyotakiwa huku tume ikisema kuwa gari hilo liliharibika njiani, wasiwasi ni kuwa huenda mabox yalibadilishwa, malumbano yanaendelea .
YouTube - General Idi Amin Dada - An Autoportrait part2/17
huyu jamaa ukiclick hapo ana ujumbe kwa wapinzani wa TZ
ohooo..mkuu hapo I can sense kaujanja ujanja tayari!
Hahaha,"I absolutely smell a rat"
Anyway, ZIMA... Umetenda dhambi kwa kukiuka kiapo!Zitto anamkomalia Mkurugenzi kuhusu sheria inavyosema kuhusiana na kuhesabu masanduku upya , kwani ni lazima pawepo na malalamiko ya mawakala kutoka kituo ama vituo husika ila kwenye kata hiyo malalamiko hayo hayakiuwasilishwa , ila mpambano unaendelea japo naona mashushushu wanamnongoneza mkurugenzi kitu inawezekana ni kuhusiana nami kutoa moja kwa moja yaani live kutoka humu ndani .
Naambiwa nizime komputa yangu kwani ninawasiliana na nani na kitu gani , haswa ikizingatiwa kuwa nimekula kiapo cha kutunza siri.
Ingawa matokeo rasmi hayajatangazwa, CHADEMA wameweza kuwashinda kwa karibu kabisa CCM kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika Biharamulo hii leo.
Mpaka zinapatikana hesabu za mwishomwisho kukiwa bado kituo kimoja cha Nyabugombe B chenye wapiga kura 394 CHADEMA ilikuwa ikiongoza kwa 50.6% huku CCM ikiifuatia kwa karibu ikiwa na asilimia 48.8% ya kura zote na TLP ikiwa imejinyakulia 0.55% ya kura zote.
Matokeo yanatarajiwa kutangazwa rasmi punde
Lakini matokeo ambayo yamejumlishwa mpaka dakika hii ni haya:
CHADEMA: 17,313
CCM: 16,682
TLP: 187
Turnout ilikuwa 39.24% (incredible!)
Matokeo ya kituo kwa kituo tuliyoyapata dakika chache toka kwa mwakilishi wa JF jimboni humo yameambatanishwa hapa chini kama attachment:
... Which means na wewe hujalala kabisa, kwani usingeweza kuongea naye ukiwa usingizini !!Zitto hajalala kabisa? Manake niliongea naye mida ya saa 9 usiku kwa saa za Tanzania akiwa macho tu... Si mchezo!
Zitto anamkomalia Mkurugenzi kuhusu sheria inavyosema kuhusiana na kuhesabu masanduku upya , kwani ni lazima pawepo na malalamiko ya mawakala kutoka kituo ama vituo husika ila kwenye kata hiyo malalamiko hayo hayakiuwasilishwa , ila mpambano unaendelea japo naona mashushushu wanamnongoneza mkurugenzi kitu inawezekana ni kuhusiana nami kutoa moja kwa moja yaani live kutoka humu ndani .
Naambiwa nizime komputa yangu kwani ninawasiliana na nani na kitu gani , haswa ikizingatiwa kuwa nimekula kiapo cha kutunza siri.
Nadhani nipo night shift... Pia inategemea unadhani nipo nchi gani... Which means na wewe hujalala kabisa, kwani usingeweza kuongea naye ukiwa usingizini !!
Matokeo ya kituo kwa kituo tuliyoyapata dakika chache toka kwa mwakilishi wa JF jimboni humo yameambatanishwa hapa chini kama attachment:
Duh!Haya ni matokeo tosha tuliyokuwa tunayasubiri ndugu zangu......i am happy like i am drinking MBEGE. Huku ughaibuni, taarifa kama hii inelete amani rohoni. Hata kama CHADEMA wangeshinda kwa kura 1 ushindi ni ushindi tuuuuuu...is a great achievement anyway....safari twende! P
Pole nyingi kwa ndugu Masatu
hata sisi 2005 tulishinda kwa kura 6 bukoba mjinihaya ni matokeo tosha tuliyokuwa tunayasubiri ndugu zangu......i am happy like i am drinking mbege. Huku ughaibuni, taarifa kama hii inelete amani rohoni. Hata kama chadema wangeshinda kwa kura 1 ushindi ni ushindi tuuuuuu...is a great achievement anyway....safari twende! P
pole nyingi kwa ndugu masatu
Kwi kwi kwii !!! Hayo tuyaache Mkuu, tusije tukawarahisishia watu kazi humu! Unajua wakati mwingine presha za kusubiri matokeo zinasababisha tuweke post za ajabu, kwa hilo utanivumilia. Nipo nasubiri vijana wako wakupe update utuwekee hapa !!Pia inategemea unadhani nipo nchi gani