PreGE2025 Matiko : Wakati Mbowe yuko ndani hatukuona matusi kwa Rais, haya ya sasa kuna jambo

PreGE2025 Matiko : Wakati Mbowe yuko ndani hatukuona matusi kwa Rais, haya ya sasa kuna jambo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,084
Reaction score
84,977
My Take
1.Huu ni ujumbe Kwa vibaraka.

2.Ujumbe Kwa mabwana zao

3.Ujumbe Kwa wale Qanaolazimisha Kibaraka Atolewe Jela licha ya Kutoa Kauli za Uasi.

4.Ujumbe Kwa kina Gwajima & Wanaharaki wengine .

Rais apunguze uungwana wanataka kumzoea vibaya.

Pia hapa kuna vita za mfumo dume,dini nk so wanawake msikubali kudhalilishwa kijinga jinga.

Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Esther Matiko, amesema kuwa falsafa ya maridhiano, mageuzi, upendo na ustahimilivu (4Rs) inayosimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, haipaswi kutumiwa kama mwanya wa kuvuruga heshima ya Taifa na kumdhalilisha Rais.

Akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mhe. Matiko amesema kuwa huko nyuma, licha ya viongozi wa upinzani kukamatwa na kufunguliwa mashtaka, hakuwahi kushuhudiwa vitendo vya dhihaka na matusi dhidi ya Rais kama inavyoshuhudiwa sasa kupitia mitandao ya kijamii.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Huko nyuma hatukuwahi kuona haya mambo yakitokea. Kwa nini yatokee sasa? Kuna jambo linafichwa. Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, aliwahi kukaa ndani kwa muda mrefu, lakini hatukuona aina hii ya dharau kwa Rais," amesema Matiko.

 
Wanaomtukana ni wakenya baada ya kusema kuwa wao hawana adabu sasa acha wamfunze adabu. Na Mbowe aliwekwa ndani na Jiwe na sio chura kiziwi pia kauli zake za kuita watu JITU watu watakujibu sawa sawa na unavyo wachukulia. Watu wanatekwa umesikia akikemea eti kifo ni kifo. Kabisa 😆😆😆😆 yaani watu wamebadhiri pesa za umma una tuambia watumishi walio vujisha sio wazalendo bali majizi ndio wazalendo.
Anastahili anacho pokea katika media wala haina haja ya kulalama
 
Wanaomtukana ni wakenya baada ya kusema kuwa wao hawana adabu sasa acha wamfunze adabu. Na Mbowe akiwekwa ndani na Jiwe na sio chura kiziwi pia kauli zake za kuita watu JITU watu watakujibu sawa sawa na unavyo wachukulia. Watu wanatekwa umesikia akikemea eti kifo ni kifo. Kabisa 😆😆😆😆 yaani watu wamebadhiri pesa za umma una tuambia watumishi walio vujisha sio wazalendo bali majizi ndio wazalendo.
Anastahili anacho pokea katika media wala haina haja ya kulalama
Nani amewahi kemea watu kutekwa? Rais yupi huyo?

Rais aondoe hii habari ya Demokrasia haifai Kwa wapumbavu arudishe mkono wa chuma kama awamu ya 5.
 
My Take
1.Huu ni ujumbe Kwa vibaraka.

2.Ujumbe Kwa mabwana zao

3.Ujumbe Kwa wale Qanaolazimisha Kibaraka Atolewe Jela licha ya Kutoa Kauli za Uasi.

4.Ujumbe Kwa kina Gwajima & Wanaharaki wengine .

Tanzania kamwe haitaruhusu kuwa shamba la Bibi, washughulikiwe wote.
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Esther Matiko, amesema kuwa falsafa ya maridhiano, mageuzi, upendo na ustahimilivu (4Rs) inayosimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, haipaswi kutumiwa kama mwanya wa kuvuruga heshima ya Taifa na kumdhalilisha Rais.

Akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mhe. Matiko amesema kuwa huko nyuma, licha ya viongozi wa upinzani kukamatwa na kufunguliwa mashtaka, hakuwahi kushuhudiwa vitendo vya dhihaka na matusi dhidi ya Rais kama inavyoshuhudiwa sasa kupitia mitandao ya kijamii.

"Huko nyuma hatukuwahi kuona haya mambo yakitokea. Kwa nini yatokee sasa? Kuna jambo linafichwa. Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, aliwahi kukaa ndani kwa muda mrefu, lakini hatukuona aina hii ya dharau kwa Rais," amesema Matiko.
Uvivu wa kwenda kulima tu, ameamua kuwa chawa
 
Screenshot_2025-05-19-14-15-16-1-1.png

Lissu ni mpango wa Mungu muachieni kabla upepo wake haujawaangamiza.
 
Nani amewahi kemea watu kutekwa? Rais yupi huyo?

Rais aondoe hii habari ya Demokrasia haifai Kwa wapumbavu arudishe mkono wa chuma kama awamu ya 5.
Kwan zama za kutekwa zimeanza awamu ipi.
Lissu akicharangwa risasi lakin JPM kinafiki akatoa katamko kupitia mitandao yake nk. Acha kutetea upumbavu.
Yeye ni binadamu na anaongoza watu wenye utashi, hasira, hisia na mitazamo na matamanio na wenye kumzidi akili na maarifa ivo acha wampe haki yake
 
Kwan zama za kutekwa zimeanza awamu ipi.
Lissu akicharangwa risasi lakin JPM kinafiki akatoa katamko kupitia mitandao yake nk. Acha kutetea upumbavu.
Yeye ni binadamu na anaongoza watu wenye utashi, hasira, hisia na mitazamo na matamanio na wenye kumzidi akili na maarifa ivo acha wampe haki yake
Wewe pumbavu mkubwa alitoa tamko gani? Zam za kuteka Toka Nyerere,Mkapa,JK nk.

Au umejisahaulisha kina Ulimboka,Kubenea nk?
 
My Take
1.Huu ni ujumbe Kwa vibaraka.

2.Ujumbe Kwa mabwana zao

3.Ujumbe Kwa wale Qanaolazimisha Kibaraka Atolewe Jela licha ya Kutoa Kauli za Uasi.

4.Ujumbe Kwa kina Gwajima & Wanaharaki wengine .

Tanzania kamwe haitaruhusu kuwa shamba la Bibi, washughulikiwe wote.

Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Esther Matiko, amesema kuwa falsafa ya maridhiano, mageuzi, upendo na ustahimilivu (4Rs) inayosimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, haipaswi kutumiwa kama mwanya wa kuvuruga heshima ya Taifa na kumdhalilisha Rais.

Akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mhe. Matiko amesema kuwa huko nyuma, licha ya viongozi wa upinzani kukamatwa na kufunguliwa mashtaka, hakuwahi kushuhudiwa vitendo vya dhihaka na matusi dhidi ya Rais kama inavyoshuhudiwa sasa kupitia mitandao ya kijamii.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Huko nyuma hatukuwahi kuona haya mambo yakitokea. Kwa nini yatokee sasa? Kuna jambo linafichwa. Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe, aliwahi kukaa ndani kwa muda mrefu, lakini hatukuona aina hii ya dharau kwa Rais," amesema Matiko.

Aisee
 
Tunao vilaza wengi sana, hivi mnajua maana ya shamba la bibi.
Kama mnajua maana yake basi tuambieni TZ ni shamba la bibi au sio la bibi
Hoja hizi hafifu zimenifanya nione umuhimu wa mabadiliko ya katiba yetu kwamba mtanzania kuwa mbunge kuwe na hitaji la elimu flani na ujuzi, vinginvyo hizi sinema haziwezi kuisha.
 
Nani amewahi kemea watu kutekwa? Rais yupi huyo?

Rais aondoe hii habari ya Demokrasia haifai Kwa wapumbavu arudishe mkono wa chuma kama awamu ya 5.
Kwa hiyo utekaji na mauaji hayapaswi kukemewa? Kwa hiyo mnataka muue ndugu zetu na sisi tuseme tu hewala? Kama utekaji ni halali kwa nini wasiutungie kanuni kabisa na uingizwe kwenye katiba kama kitendo halali, mna akili za hovyo sana!
 
Wewe pumbavu mkubwa alitoa tamko gani? Zam za kuteka Toka Nyerere,Mkapa,JK nk.

Au umejisahaulisha kina Ulimboka,Kubenea nk?
Waliotekwa kwa zama za zaman hapakuwa na mitandao pia habari hazikuwa zinafika kwa wakati. Mpumbavu ni wewe na mamaako huyo. Mpumbavu na wotenaotetea huo upumbavu ni heri mngekua wajinga ila muwa pumbavu
 
Nadhani wanaomtukana Samia na kumdhihaki ni Wakenya.

Halafu sijui wanalipia matangazo huku Bongo maana nashangaa matusi yao yanaonekana kwenye feeds za watanzania wakati wako Kenya.

Kwa kweli level ya kumdhihaki Samia kutoka kwa wakenya ni ya ngazi nyingine, sijawahi kuona.
 
Hoja hizi hafifu zimenifanya nione umuhimu wa mabadiliko ya katiba yetu kwamba mtanzania kuwa mbunge kuwe na hitaji la elimu flani na ujuzi, vinginvyo hizi sinema haziwezi kuisha.
Kwani hao hawana Elimu? Wew mwenye Elimu una hoja gani ya maana umetoa?
 
Back
Top Bottom