Kama hujui kitu ni bora ukauliza kuliko kuanika umbumbumbu! Huyo bwana ndie aliyesababisha chuo kikuu kiwe kwenye status hii ya sasa! Hujui kuwa kabla ya uongozi wake wanafunzi tulikuwa tumejengewa vyoo vya mabati vya nje kujisaidia hall moja na matundu idadi ndogo ya kutisha! Maji chuo yalikuwa historia, chuo kikuu kilikuwa choo kukuuu! hujui ni bora uliza usichangie usicho kijua!
Weka hata kapicha kake mkuu,wengne hatumjui.
Taarifa kwa wanajf, MATIKO MATARE aliyewahi kuongoza maandamano makubwa chuo kikuu cha dar (UDSM) miaka ya 1990 na kusumbua serikali ya rais mwinyi pamoja na jaji warioba, ni mzima wa afya na yupo mkoa wa ruvuma Tena ni katibu wa kanda ya kusini wa CHADEMA kupitia uchaguzi uliofanyika tar. 17 july 2013 siku ya uzinduzi wa kanda chini ya m/kiti wa CDM taifa MH. Mbowe. Hivyo kwa wale wanaojua kuwa alifariki si kweli.
0757282151 ndiyo namba yake.Huyu Bwana tulikuwa naye katika mapambano UDSM kilipofungwa tar 12 Mei 1990 na kufunguliwa tar 1 Januari 1991.Wadogo zangu mambo yalikuwa makubwa. Hapa yupo Ludovick Kashaju Bazigiza, pembeni yupo Ally Salehe, kushoto yupo Sarungi, kulia yupo Harun Kimaro, mie nikiwa kiungo, James Mbatia akiwa winga, golini yupo Adolph Mkenda, Mosena Nyambabe centre half, benchi la ufundi yuko Lugemeleza Nshala na Asha Mzava, Kangi Ligola anaokota mipira,....
Nakumbuka mbali.
Angalizo: Usalama wa Taifa wakati ule walikamata wasumbufu (au niseme walioonekana kuwa wasumbufu), waliwafunga vitambaa machoni wasione wanaenda wapi, walifichwa mahali kwa muda wakifanya mahojiano kutumia mbinu za kisaikolojia BILA KUTHURU MWILI vibaya. Hawakuwavuta pumbu, hawakuwang'owa meno, hawakuwatobowa macho. Kama yupo atatoa ushahidi huu naamini.
0757282151 ndiyo namba yake.Huyu Bwana tulikuwa naye katika mapambano UDSM kilipofungwa tar 12 Mei 1990 na kufunguliwa tar 1 Januari 1991.Wadogo zangu mambo yalikuwa makubwa. Hapa yupo Ludovick Kashaju Bazigiza, pembeni yupo Ally Salehe, kushoto yupo Sarungi, kulia yupo Harun Kimaro, mie nikiwa kiungo, James Mbatia akiwa winga, golini yupo Adolph Mkenda, Mosena Nyambabe centre half, benchi la ufundi yuko Lugemeleza Nshala na Asha Mzava, Kangi Ligola anaokota mipira,....
Nakumbuka mbali.
Yeah ndio hali ilivyokuwa, baada ya kunji serikali ikaboresha ndicho kitu kilipelekea chuo kufungwa mwaka for maintananceMkuu mahall hayakuwa na vyoo?
Unajua unaongea nini? Maprofessor ndio wanaojenga vyoo au ndio mamonitor? umeshawahi kuwa chuokikuu? manaake unaonyesha hujui system inavyofanya kavi! Maprof sio kama walimu wa primary au secondary nadhani ndio ideal yako!Hapo tatizo ni upeo wa maprofesa wenu sio ushujaa wa msababisha migomo.
Kwahiyo maprofesa nao walikuwa wanajisaidia kwenye vyoo vya shimo? Mkuu wa chuo naye alikuwa anakuja kazini kwa miguu?Unajua unaongea nini? Maprofessor ndio wanaojenga vyoo au ndio mamonitor? umeshawahi kuwa chuokikuu? manaake unaonyesha hujui system inavyofanya kavi! Maprof sio kama walimu wa primary au secondary nadhani ndio ideal yako!
Nilikuwa form one hapa mkuu na nakumbuka mgomo huu mlirudishwa nyumbani alafu wananchi tukaandamana kulaani mgomo wa UDSM, au nimekosea?
Siyo mihula bali alifanya kuwe na Backlog ya kujiunga na UDSM.
Mkuu Mwita Maranya ni vyema kwa kweli tukapata habari kamili za huyu jamaa pamoja na hata picha ikiwezekana. Mtu kama huyu ambaye alikuwa maarufu wakati ule na kisha kukawa na habari kwamba alikuwa kichaa kisha aktangulia mbele za haki, basi maneno tu yanakuwa hayatoshi. Tupate ushahidi zaidi.
Mkuu Kashishi habari za Bazigiza nazo zimekuwa kama za Matiku Matare. Kuna tetesi zilizagaa kuwa alionekana huko Ngara kisha akatangulia mbele za haki. Kama hawa jamaa wapo ni vyema wakajitokeza na kutuambia kama kweli bado wapo. Pia wanaweza hata kuandika kitabu kuhusu ule mgomo na jinsi walivyouendesha kwa ajili ya historia tu ya UDSM pamoja na nchi kwa ujumla. Ule ulikuwa mgomo mama wa migomo yote tangia UDSM ianzishwe na siamini kwa hali ya sasa kama mgomo kama ule unaweza kutokea tena. Miaka zaidi ya 30 sasa kila kitu kinaweza wekwa wazi na wanaoweza kuweka wazi kila kitu ni pamoja na Matiku, Bazigiza, jamaa mmoja akiitwa Sarungi na wengine kadhaa. Imani yangu ni kwamba mgomo ule ulikuwa ni mikono mingi na si ajabu hata wanasiasa walikuwemo.
Siku hiyo mabehewa yote ya TRC ya daraja la pili kulala tuliyachukua yote Kanda ya Ziwa. Alafu nyie madogo mkaandamana kutuzomea. Lipi kipindi cha mazungumzo baada ya habari cha Mzee Sozigwa wakasema LY alijiona msomi akavaa kaptula kichwani. Tumeanza ukombozi kwa suluba.
Na hao wasioandamana wala kugomea shughuli za maendeleo wanafanya hizo shughuli za maendeleo maana maendeleo yenyewe hatuyaoni zaidi ya Propaganda uchwala.Huyo anafaa kuwa chadema kwa sababu chadema wamespecialize kwenye maandamano ya kugomea shughuli za maendeleo...
Mchawi utamjua tu. We chapa lapa tu unataka ushahidi wa nini na ili iweje? Au wewe ndiye ulimroga na kisha kuanza kueneza habari za uzushi dhidi yake.
Mkuu ulikuwa ukiripoti kwa mkuu wa Wilaya kila mwezi?
Taarifa kwa wanajf, MATIKO MATARE aliyewahi kuongoza maandamano makubwa chuo kikuu cha dar (UDSM) miaka ya 1990 na kusumbua serikali ya rais mwinyi pamoja na jaji warioba, ni mzima wa afya na yupo mkoa wa ruvuma Tena ni katibu wa kanda ya kusini wa CHADEMA kupitia uchaguzi uliofanyika tar. 17 july 2013 siku ya uzinduzi wa kanda chini ya m/kiti wa CDM taifa MH. Mbowe. Hivyo kwa wale wanaojua kuwa alifariki si kweli.