du kazi kweli kweli! mimi naingiza salio kama kawaida.
huyo ambaye line yake ilifutwa ni kwamba zain wana utaratibu wa kufuta namba zote ambazo hazipo active kwa kipindi cha miezi mitatu, sasa kama walikufutia kwa miezi miwili nadhani hapo kuna kitu. Mimi nipo nje ya nchi ni mwaka wa nne huu sasa na nilichokifanya ni roaming, hivyo line yangu ipo active walau kila baada ya miezi miwili naitumia hata kama ni kutuma sms mbili tatu then naifungia nikijua ipo active kadiri yao. Nadhani lengo lao ni kuondoa idadi ya wateja ambao hawapo active na hii inasaidia kuwa na takwimu za watumiaji halisi, sio mtu akinunua line basi ndio iwe milele hata kama haifanyi kazi.