Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 23,275
- 33,878
Mzee wangu habari yako.
Safuher,Mzee wangu habari yako.
Naomba kusema kuwa mimi siungi mkono kabisa unyanyasaji huo kama kweli unafanywa dhidi yao.
Pili naomba kukuuliza mzee wangu kuwa hawa mashekhe wakati wanahubiri unadhani walikuwa wanatumia haki ya kikatiba vizuri ?
Sheikh Mohammed Allah akulipe kila lakheri!
Ni wachache sana wenye imani na huruma kama wewe, siku hizi waislamu JINA wako wengi tu, utamuona mtu kakuvalia kanzu na kofia kumbe mnafiq mkubwa, ndio ujue wengi wao wako kimaslahi na si kwa ajili ya Allah na kuwasaidia waislam.
Kikwete na Mohamed shein wote hawa ni waislamu, je walishindwa nini kuwatoa hawa masheikh kama ni waumini wakweli na wanamuogopa Allah SW! Viongozi wa bakwata pia kazi kumsifia mkulu tu mpaka anatolewa mfano kwa manabii, huku wamekaa kimya kuhusu masheikh.
Ivyo Waumini ni wachache sana, wengi wao wapo kidunia tu.
Capitano,Kwa kusema haya ndugu yangu haiwezi kuwa na wewe unajiweka katika hatari ya kukamatwa na kufungwa bila hukumu?
Rumande miaka saba?Safuher,
Kesi itakaposikilizwa na hukumu kutolewa ndipo ukweli utajulikana.
Lakini inavyoelekea ni kuwa masheikh wetu hawana kesi ya kujibu wako rumande kwa miaka saba.
Amani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Amani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Rumande miaka saba?
Uchunguzi haujukamilika?
Amani ya nchi hii ni bora mara mia kuliko uhai wa magaidi wachache. Bado nasisitiza hawa wanyongwe haraka. Wewe mleta mada funga domo kabisa yaani hata usiote tena hoja kama hizi. Msitumie uislamu kama kichaka. Huyo Ponda mwenyewe wanamlea sana angeshatua ahera long time. AMANI YA TANZANIA NI BORA KUKIKO DINI. Povu ruksa.
Sheikh Mohammed Allah akulipe kila lakheri!
Ni wachache sana wenye imani na huruma kama wewe, siku hizi waislamu JINA wako wengi tu, utamuona mtu kakuvalia kanzu na kofia kumbe mnafiq mkubwa, ndio ujue wengi wao wako kimaslahi na si kwa ajili ya Allah na kuwasaidia waislam.
Kikwete na Mohamed shein wote hawa ni waislamu, je walishindwa nini kuwatoa hawa masheikh kama ni waumini wakweli na wanamuogopa Allah SW! Viongozi wa bakwata pia kazi kumsifia mkulu tu mpaka anatolewa mfano kwa manabii, huku wamekaa kimya kuhusu masheikh.
Ivyo Waumini ni wachache sana, wengi wao wapo kidunia tu.