Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,282 1,096,069 May 23, 2017 #1 Hapo bado sms za JF,watsup,tweeter nakadhalika Halafu mtu kama huyu analalamika hali ngumu mshahara hautoshi wakati pesa inaishia kwenye bando
Hapo bado sms za JF,watsup,tweeter nakadhalika Halafu mtu kama huyu analalamika hali ngumu mshahara hautoshi wakati pesa inaishia kwenye bando
The Bleiz JF-Expert Member Jan 7, 2012 5,062 13,462 May 23, 2017 #2 Huyu kapania aisee. Halafu utakuta zote hizo hakuna hata moja ya mchongo wa pesa.
Al-Watan JF-Expert Member Apr 16, 2009 11,891 14,560 May 23, 2017 #3 Anakwambia "bora nisile lakini bando isiishe."
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Jun 21, 2016 22,137 48,808 May 23, 2017 #4 Uyu mtu yuko bze sana hana muda wa kujibu hizo text wala kusoma emails.
Glenn JF-Expert Member May 23, 2015 65,822 156,967 May 23, 2017 #6 The Bleiz said: Huyu kapania aisee. Halafu utakuta zote hizo hakuna hata moja ya mchongo wa pesa. Click to expand... Matumizi mabaya ya mitandao yanapoteza muda kitu muhimu kupita vyote
The Bleiz said: Huyu kapania aisee. Halafu utakuta zote hizo hakuna hata moja ya mchongo wa pesa. Click to expand... Matumizi mabaya ya mitandao yanapoteza muda kitu muhimu kupita vyote
Kyodowe JF-Expert Member Mar 6, 2013 1,193 1,307 May 23, 2017 #7 Naona huyu atakuwa great thinker no.1
middle east JF-Expert Member Dec 30, 2016 1,307 1,681 May 23, 2017 #10 Mbona comments ni negative tu wakuu,kama ni michongo ya pesa je ???.....tusikalili wakuu
Daby JF-Expert Member Oct 26, 2014 33,648 75,737 May 23, 2017 #11 middle east said: Mbona comments ni negative tu wakuu,kama ni michongo ya pesa je ???.....tusikalili wakuu Click to expand... Ni kweli. Wengine JF tunakesha nao ila wanapiga mikwanja humu humu. Ni vizuri kuwa positive .
middle east said: Mbona comments ni negative tu wakuu,kama ni michongo ya pesa je ???.....tusikalili wakuu Click to expand... Ni kweli. Wengine JF tunakesha nao ila wanapiga mikwanja humu humu. Ni vizuri kuwa positive .
Daby JF-Expert Member Oct 26, 2014 33,648 75,737 May 23, 2017 #12 Watu wengine ofisi zao ni simu na PC.
N Ndakilawe JF-Expert Member Jul 6, 2011 4,815 2,814 May 23, 2017 #13 shubaaamiti Upuuzi wa Masoud Kipanya huo...
Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,282 1,096,069 May 23, 2017 Thread starter #14 Labda enzi za Jk ila kwa sasa hapana sio michongo ya pesa hio,too much middle east said: Mbona comments ni negative tu wakuu,kama ni michongo ya pesa je ???.....tusikalili wakuu Click to expand... slim Q said: Watu wengine ofisi zao ni simu na PC. Click to expand...
Labda enzi za Jk ila kwa sasa hapana sio michongo ya pesa hio,too much middle east said: Mbona comments ni negative tu wakuu,kama ni michongo ya pesa je ???.....tusikalili wakuu Click to expand... slim Q said: Watu wengine ofisi zao ni simu na PC. Click to expand...