nimesota
Senior Member
- Jan 16, 2015
- 123
- 53
ISIS wanahitaji kilichofanyika HIROSHIMA 70 yrs ago.
nakubaliana na wewe
ISIS wanahitaji kilichofanyika HIROSHIMA 70 yrs ago.
Nami nadhani hakuna udhalilishaji wa dini zaidi ya huu unaofanywa na Boko Hramu na Islamic state,kutumia jina la dini kufanya ushaitwan wa aina hii ulipaswa ulaaniwe ,ufanyiwe maandamano ,na sijui hapa wangechoma ninihawa islamic state na boko haram wanasema kupigania uislam lakin sijaona waislam mfano wa tanzania kuandamana kuwapinga ila ingekuwa kitabu chao kimechomwa uko marekan au ulaya ungeona fujo zake wanachoma makanisa ya wasio na hatia tz,siwaelewi
sisi wote kitu kimoja,hizo dini zenyewe zililetwa na wakoloni