mr.sylvestre
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 252
- 298
Habari wakuu.NImekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kujaa mate mdomoni,hali hii inanitisha make inafikia hatua nikiwa nazungumza inanibidi nitulie kwa muda ili nimeze hayo mate kwanza.Si mzungumzaji sana na sina tatizo lolote la kiafya