wadau ambao ni wakongwe kwenye haya kuna mke wa jamaa yangu anajisikia vibaya kila siku kama kutapika kuumwa tumbo kutokupenda kula nk anaujauzito wa miezi minne na pia nidawa gani anayotakiwa kutumia anapokuwa katika hli hiyo nawakilisha
Hilo la kutapika na kupoteza appetite yaweza kuwa ni matokeo ya hormones, kama ujauzito wake ndivyo ulivyo basi ataendelea hivyo mpaka mwili wake utakapoamua kubadilika.
Ila hilo la kuumwa tumbo ningeshauri akamwone daktari wa wakina mama. Kuumwa tumbo wakati wa ujauzito kunaweza kukawa kunaashiria hatari kwa afya ya mama na mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.