SEROTHERAPY
Senior Member
- Oct 24, 2014
- 199
- 26
we serotherapy nataman sn uwe unasoma udsm lkn sitaman hata kidogo uwe unasomea ualimu, hua wa2 wa dizain kama zenu za kutumia mda mwng kusifia chuo hua hamfundish na co wote ila wa dizain ka yako, nataman uwe unasomea PSPA ili baada ya kumalza mwaka wa 3 tukutane tena huku jf, FUNZO: USIMUONGELEE VIBAYA MTU MWENYE TATZO UNAPASWA KUMFARIJI, shame'on u
Hahahahahh nimekusomaa nduguuu siwezi kusoma course za wanawake PSPA ndo ninii we mwanaume course ganii unasoma alafuu angalia na maisha ya kwenu sio unasoma tuu bora hata uyoo mwalimu mwenye marks ndogo za st joseph atapata ajira shame on you hahahahahhhau