kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,557
- 2,626
Hivi wadau kuna wajawazito wakishajifungua huwa miguu inakosa nguvu chanzo nini naona sista wangu anashindwa kutembea anatumia mkongojo.
Upungufu wa calcium na zinc mpeleke HOSPITALI.Hivi wadau kuna wajawazito wakishajifungua huwa miguu inakosa nguvu chanzo nini naona sista wangu anashindwa kutembea anatumia mkongojo
Nashukuru mkuuUpungufu wa calcium na zinc mpeleke HOSPITALI.
Hivi wadau kuna wajawazito wakishajifungua huwa miguu inakosa nguvu chanzo nini naona sista wangu anashindwa kutembea anatumia mkongojo.
Shukrani mkuuHabari,
Pole kwa kuuguliwa.
Mambo matatu yaweza kuwa ni sababu:
1: Mgandamizo kwenye nyonga, hii inategemea na ukubwa wa nyonga yake, ukubwa wa mtoto au jinsi mtoto alivyomuwa amekaa tumboni.
2: Usahii au kutokuwa sahii kwa mapito aliyopitia wakati wa kujifungua.
3: Mapokeo ya mwili dhidi ya vichocheo/hormones wakati wa kulainisha viungo. Hiu hutokea wakati wa ujauzito.
4: Upungufu wa madini, vitamins na valcium. Hii pia huwapata sana wamama baada ya kujufungua.
Fika naye kituo cha afya, daktari apate historia nzuri ya hayo hapo juu. Ataweza kung'amua tatizo liko wapi baada ya pia kumfanyia physical examination na kuona kiwango cha tatizo na linaanzia wapi na kuishia wapi.
Mpeleke HOSPITALI ya wilaya au mkoa achana na dispensary za private MkuuNashukuru mkuu
Shukrani mkuuMpeleke HOSPITALI ya wilaya au mkoa achana na dispensary za private Mkuu
Mkuu achana utani Basi mpeleke mgonjwa hospitaliShukrani mkuu
Nimempeleka boss tayariMkuu achana utani Basi mpeleke mgonjwa hospitali
Safi mkuu.NAMUOMBA MUNGU AMPE SHUFAA NA UPONAJI WA HARAKANimempeleka boss tayari
Kuna uzi kule una mhusu Bimkubwa je alikwisha pata tiba ya matatizo yake?Nimempeleka boss tayari
AmenSafi mkuu.NAMUOMBA MUNGU AMPE SHUFAA NA UPONAJI WA HARAKA
Anaendelea vizuri angalau tatizo yametokea mapunye punye miguuniKuna uzi kule una mhusu Bimkubwa je alikwisha pata tiba ya matatizo yake?
Kweli bossStage pasua kichwa
1.Ujauzito kuanzia mwezi wa 3
2.Ukijifungua miezi mi 3 ya mwanzo
Hizo stage ni pasua kichwa,yani kama ni mwanaume unatakiwa uwe na namba za madaktari wote wa muhimu na smartphone yako muda wote iwe na bando la kufungua thread JF kuuliza jambo au ku google changes utazoziona kwa mwenza wako.
After hivi vipindi kupita the rest ni Furaha na Kuringa na katoto kako...
Tumbo limepona ,Uvimbe na kuwaka Moto kumepona na kilicho baki ndo hiyo mibabuko mkuu au sijaelewa?Anaendelea vizuri angalau tatizo yametokea mapunye punye miguuni
Amepona bossTumbo limepona ,Uvimbe na kuwaka Moto kumepona na kilicho baki ndo hiyo mibabuko mkuu au sijaelewa?
👍Amepona boss