matatizo ya mahusiano

matatizo ya mahusiano

baba havijawa

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
5
Reaction score
0
maisha ni mizunguko na yenye changamoto nyingi, hususani katika masuala ya mapenzi, kila mtu katika mapenzi lazima akutane nayo,
zamani nilidhani wengi wanaokutana na matatizo ktk mapenzi ni wale wasiokuwa na hela au masikini. la hasha mapenzi yanaliza class zote zote matajiri na masikini. hata uwe na pesa vipi huwez kununua upendo kwa mtu. unaweza kuwa na msichana au na mwanaume yeyote kwa pesa zako but huwezi kuwa na hisia zake. na kufanya mapenzi nae ickudanganye ndo umeweza kumshika hisia zake, kwani mnaweza kufanya mapenzi tu but still asiwe na hisia na wewe. wakati mwingine jinsi unavyoweza kutatua matatizo ya mapenzi ndo inakufanya uwe stable na kutotingishwa na mambo mengi. most of people think that whenever they face challenges in their relationship the only is to break up and start new relationship something which way to solve it. ukifanya hivi utakuwa mtu wa kutumiwa na kuachwa muda wote.
 
^^
Ukweli mtupu japo unawaumiza wanawake wanaotafuta wanaume wenye pesa maana umesema na matajiri wanalia,, awapendi kuambiwa ivo,,wanataka waambiwe penzi ni pesa
^^
 
Wagosi wakaya walisema:-
"...Wote wanalala, wote wanakula, wote wanacheka na wakati wanahuzunika, maumivu ni yale yale, tajiri na masikini wote hufa vile vile..."!
 
Back
Top Bottom