Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,249
- 1,277
Habari ndugu wajumbe.
Kuna hali nimekua naipitia inanivuruga kabisa.
Umri wangu ni miaka 35 jinsia ni ME, shida ni kwamba ninapokua na ratiba mpya au jukumu jipya au taarifa ya kushtua ninapoipata tu afya inayumba kwa dalili zifuatazo.
1. Sitapata usingizi yani usiku hadi panakucha.
2. Napata kichefuchefu, mate yanajaa mdomoni.
3. Naweza pata dry throat, koo linakauka, nameza mate kwa tabu.
4. Tumbo linavuruga, naharisha.
5. Mwili unaisha nguvu, nakua dhaifu kabisa.
SULUHU ambacho nimekua nikifanya ni kutafuta dawa za usingizi kidogo tu mara nyingi huwa natumia vitamin PHAMACTIN (nikinywa mills tano tu) inanipa usingizi. Nikilala nikiamka akili inakua imesahau ile taarifa hivyo nakua sawa.
Naweza pewa ratiba ya safari, hiyo hali ya kuumwa inanivaa nakua dhaifu lakini ikatokea nikaambiwa safari imeahirishwa baada ya muda mfupi nakua normal.
Ni kama ain fulani ya fear of unknown. Je, kuna dawa za kumeza ili ku stabilize mood? Dawa ambazo ukimeza huogopi kitu, una uwezo wa kufanya chochote bila mshaka maana ni kama akili yangu inatanguliza mabaya kwenye rtiba mpya.
Njua hapa pana wataalam wengi tafadhali nombeni msaada maana ladh ya kuishi inapotea
Kuna hali nimekua naipitia inanivuruga kabisa.
Umri wangu ni miaka 35 jinsia ni ME, shida ni kwamba ninapokua na ratiba mpya au jukumu jipya au taarifa ya kushtua ninapoipata tu afya inayumba kwa dalili zifuatazo.
1. Sitapata usingizi yani usiku hadi panakucha.
2. Napata kichefuchefu, mate yanajaa mdomoni.
3. Naweza pata dry throat, koo linakauka, nameza mate kwa tabu.
4. Tumbo linavuruga, naharisha.
5. Mwili unaisha nguvu, nakua dhaifu kabisa.
SULUHU ambacho nimekua nikifanya ni kutafuta dawa za usingizi kidogo tu mara nyingi huwa natumia vitamin PHAMACTIN (nikinywa mills tano tu) inanipa usingizi. Nikilala nikiamka akili inakua imesahau ile taarifa hivyo nakua sawa.
Naweza pewa ratiba ya safari, hiyo hali ya kuumwa inanivaa nakua dhaifu lakini ikatokea nikaambiwa safari imeahirishwa baada ya muda mfupi nakua normal.
Ni kama ain fulani ya fear of unknown. Je, kuna dawa za kumeza ili ku stabilize mood? Dawa ambazo ukimeza huogopi kitu, una uwezo wa kufanya chochote bila mshaka maana ni kama akili yangu inatanguliza mabaya kwenye rtiba mpya.
Njua hapa pana wataalam wengi tafadhali nombeni msaada maana ladh ya kuishi inapotea