"Under nutrition is an underlying cause of 53% of deaths among children under five years of age in subsaharan african countries"(WHO report).
sasa wakuu hii ni achilia mbali zile deaths due to infectious diseases like malaria and the likes ambazo could be prevented and cured.
hoja yangu ni je hizi deaths siyo za kujitakia?tuachane na mambo ya ubovu wa viongozi wetu nk lakini kwa mfano tungeishi kama wenzetu ambao wanazaa kulingana na uwezo walionao tusingeepukana na hivi vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha ama chakula bora? i mean kwa mfano wenzetu kama uwezo wao ni wa kumuhudumia mtoto mmoja basi watazaa huyohuyo mmoja,kama wawili basi wawili et al sasa sisi iweje mtu uwezo wako ni wa mtoto mmoja unazaa 10 ambao mwisho wa siku unashindwa kuwahudumia ipasavyo na kusababisha maafa haya?
mobs sijui inafaa hapa manake nimeona kama na siasa inaingia ingia na yenyewe..
sasa wakuu hii ni achilia mbali zile deaths due to infectious diseases like malaria and the likes ambazo could be prevented and cured.
hoja yangu ni je hizi deaths siyo za kujitakia?tuachane na mambo ya ubovu wa viongozi wetu nk lakini kwa mfano tungeishi kama wenzetu ambao wanazaa kulingana na uwezo walionao tusingeepukana na hivi vifo vinavyosababishwa na ukosefu wa chakula cha kutosha ama chakula bora? i mean kwa mfano wenzetu kama uwezo wao ni wa kumuhudumia mtoto mmoja basi watazaa huyohuyo mmoja,kama wawili basi wawili et al sasa sisi iweje mtu uwezo wako ni wa mtoto mmoja unazaa 10 ambao mwisho wa siku unashindwa kuwahudumia ipasavyo na kusababisha maafa haya?
mobs sijui inafaa hapa manake nimeona kama na siasa inaingia ingia na yenyewe..