MATATA Anusurika Kipigo

MATATA Anusurika Kipigo

Ni upuuzi na udaku na mambo ya kike kike ninadhani mnafuatilia hata nyumba za watu nani anagombana na mkewe na watoto ili mumwanike ktk Jf nijuavyo mimi Matata alipishana kimapatano na wale vijana nao walikua kama 9 hivi sasa vijana 50 hayo mawe yalikua ktk Mv Mapinduzi? Na hakuna bastola iliyotolewa kuna watu wanapenda kukuza mambo bila sababu ya msingi mradi waonekane wameleta thread ktk Jf

embu tuambie ukweli ilikuwaje
 
Kwanini viongozi wa chadema mnapenda dhuluma sana wange m.......
 
Back
Top Bottom