Matapeli wako kwenye mchakato wa kuniibia

Matapeli wako kwenye mchakato wa kuniibia

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....
 
Umepata nafasi ya kuwamaliza mkuu, Nenda Polisi kawaripoti
 
Mtu wako wa karibu kawaambia kwako wanaweza pata milioni mbili au tatu, wamekujuaje,anaweza kuwa ndugu,rafiki au jamaa yako akujuaye kwa kina.
 
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....

Haroo, Post rinumber rao ra simu wanayokupigia naro tuwashughurikie haraka. Ova!
 
mkuu acha tabia ya kuacha namba zako hovyo hovyo kwenye mitandao! huko ndiko wanako zipata!
 
Hahaha kama nawaona vile hayo matapeli yanasoma huu uzii!! Kaa chonjo mwaya mjin shule ila ucje na madaftar na pen
 
Mtu wako wa karibu kawaambia kwako wanaweza pata milioni mbili au tatu, wamekujuaje,anaweza kuwa ndugu,rafiki au jamaa yako akujuaye kwa kina.

Sure mkuu, jamaa kaanza kwa kujieleza tulikutana kwenye kikao cha harusi mwezi june mwaka huu.Ni Kweli nlikuwa katibu wa sherehe.it means kuna mtu aliyenifahamu wakati huo akawapa my contact
 
Sure mkuu, jamaa kaanza kwa kujieleza tulikutana kwenye kikao cha harusi mwezi june mwaka huu.Ni Kweli nlikuwa katibu wa sherehe.it means kuna mtu aliyenifahamu wakati huo akawapa my contact

Hata zile waraka za vikao vya harusi Si tunawekaga na namba zetu za simu, wanaweza zitumia pia kukufikia.
Weka nao mtego, au uwatapeli wao.
 
Siku zote ukiwa na tamaa ya kupata pesa haraka lazima utapeliwe.
 
Kwa hatua uliyofikia huwezi tapeliwa, waambie uko busy na ofisi watume mtu aje achukue mshiko ofisini
 
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....

mkuu mimi wamenikosa,
wanatumia no hizi
0785468106
0785507802
achana na mabwege hao
 
0785468106
0785507802
achana na mabwege hao

Kama namba hizo ni kweli ni za matapeli, hapo unaweza kuona jinsi kampeni ya kusajiri simu ilivyo no mushkeri. maana hazijasajiliwa na zinafanya kazi. Na hata wakifanya uhalifu mkubwa si rahisi kuwatrace. Na hilo lilikuwa ni mojawapo ya malengo ya kusajiri simu. Jaribu kutest hizo namba kwa usajili utagundua kuwa hamna kitu hapo.
 
Bado hadi mchana juu wananitafuta, wanaulizia kama nimeshampigia Daktari wao
Nambaa zao
Mmoja amejitambulisha anaitwa Antony mwakalinga nambaa 0789767076 ,john kiwia 0688902359 na hiyo daktari wa kukutana nae anaitwa cosmas komba 0756751471.
 
Sure mkuu, jamaa kaanza kwa kujieleza tulikutana kwenye kikao cha harusi mwezi june mwaka huu.Ni Kweli nlikuwa katibu wa sherehe.it means kuna mtu aliyenifahamu wakati huo akawapa my contact

Mkuu yale makaratsi ya ahadi za michango ndo yamekuponza! Kuna namba yako ya simu na kiwango cha ahadi yako. Ndo zao hizo. Wakupe wewe biashara "nzuri" kwani wao hawana ndugu zao wa damu wafanye nao biashara! Watolee nje uone kama watakupigia tena!
 
bado hadi mchana juu wananitafuta, wanaulizia kama nimeshampigia daktari wao
nambaa zao
mmoja amejitambulisha anaitwa antony mwakalinga nambaa 0789767076 ,john kiwia 0688902359 na hiyo daktari wa kukutana nae anaitwa cosmas komba 0756751471.

ni matapeli hao achana nao!
 
mbinu hizi za kizamani bado wanazitumia kutapelia watu tu,..
 
Back
Top Bottom