mbinu hizi za kizamani bado wanazitumia kutapelia watu tu,..
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....
hata wewe mtoa uzi naona ni tapeli tu!!
otherwise ungetoa namba za hao waliotaka kukuingiza kariakoo shimoni bila idhini!
jinga sana wewe!
Habari wakuu, leo matapeli wameanzia kwangu asubuhi hii.ni wale wale wanaotaka tufanye biashara ya dawa za visima wao wako katavi wanataka nikutane na mtu wao yuko wizara ya kilimo.....
Yes amejitambulisha jina hilo hilo la mwakalinga.