KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,582
- 4,178
Namkumbuka sana huyu "shomile mpaka mbwa yasheka" na kwa kuuonesha usomi wake, alikuwa akijiita "BATENGAS".Kwa sisi Vijana wa miaka ya nyuma kuna jamaa alikuwa anaitwa BATENGA. Hii ilikuwa namba nyingine.....Marehemu Baba wa Taifa alikuwa anamtambua.