Matani

Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)

Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..

Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..

Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...

PS: On a light touch...

Mkubwa nimekukubali !
 
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!

Najikumbushia tu...(usinichukie...)

Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..

Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..

Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...

PS: On a light touch...

we ni mwehu,hahahaha.mbav zangu
 
ndio maana uliota nimekushikia bastola ulipoamka ukaenda kunichukulia RB police
we ni mbaya mpaka Mungu amegair kutoa toleo lako tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom