mwangalie sura mbaya kama dawa ya ngiri
umekomaa mpaka ukijamba ushuzi unakuwa mosquito repellent
umekomaa mpaka ukijamba ushuzi unakuwa mosquito repellent
...tehee, umeacha lini kulala juu ya miti. Na lile tumbo la kuhara bado tuu.
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)
Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..
Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...
PS: On a light touch...
twende ndiyomana ulivyozaliwa jua likazima
Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)
Unataka matani..
Nyani ngabu, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee mwanakiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..
Aspirin unamashavu kama mimba ya panya..
Na wewe Tukutuku uso kama shamba la matuta...
Unataka unataka..
Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..
Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuitisha tochi...
PS: On a light touch...
Nyinyi kwenu ni maskini mpaka shilingi mia mbili zenu zina picha ya Nyerere amevaa vesti imeraruka!!!!
Roho ngumu km ngariba wa kikuryamwangalie sura mbaya kama dawa ya ngiri