Duuu acheni jembe walipitish afu mtaona sas kipkitahapenWewe vipi anadhani Kila mtu ana mpango wa kwenda mbinguni? We vipi wewe
Kwa hiyo yeye keshajihakikishia kuwa mgombea uraisi wa UKAWA ni lazima siku zote awe anatoka chadema tu sio vyama vingine vinavyounda UKAWA?
Rubbish!!!Washirika wa UKAWA wameijia juu Chadema kutaka itoe tamko kuhusiana na matamshi ya Tundu Lisu Ulaya na Marekani kuwa atagombea uraisi endapo atapitishwa na chama chake cha Chadema.Washirika hao wanahoji Je UKAWA ambao ndio uliokuwa Ukipitisha jina la nani agombee uraisi hr Chadema imejitoa na kuufuta UKAWA? Wanadai kuwa Lisu ni kiongozi wa juu wa Chadema na Mwanasheria anayejua juu ya makubaliano ya UKAWA kuhusu namna mgombea uraisi anavyopatikana ndani ya UKAWA kuwa huteuliwa na kupitisha na UKAWA na baadaye huungwa mkono na washirika wote wa UKAWA.Lisu kwenye matamshi yake anaonyesha wazi kuwa kazi hiyo sasa ni ya chadema pekee ndio itaifanya sio UKAWA.Wanataka chadema itoe tamko kuhusiana na hilo tamko la Tundu Lisu Mwanasheria mkuu wa Chadema na anayejinasibu kuwa mbobesi sana kwenye Sheria je chadema na Lisu bado wanaitambua au hawaitambui tena UKAWA na wala hawaihitaji? Majukumu ya kumteua mgombea uraisi yaliyokuwa yanafanywa pamoja na vyama vyote vya UKAWA majukumu.hayo hayapo tena chadema itajifanyia kivyake? Wanahoji.Kama UKAWA haupo tena na hahitajiki tena ni kikao kipi kilipitisha kuwa sasa Kila chama mshirika wa UKAWA ruksa kijiteulia mgombea wake wa Uraisi?.Washirika wa UKAWA wanaitaka Chadema itoe kauli kuhusu matamko hayo ya Lisu kuwa wanakubaliana nayo au la na kama ndio msimamo wa chama kuwa chadema ndicho kitakachoamua nani mgombea Uraisi na Sio UKAWA.
Because its senselessWhy Rubbish
Wamekituma wewe mchawi kutoka lumumba?Washirika wa UKAWA wameijia juu Chadema kutaka itoe tamko kuhusiana na matamshi ya Tundu Lisu Ulaya na Marekani kuwa atagombea uraisi endapo atapitishwa na chama chake cha Chadema.Washirika hao wanahoji Je UKAWA ambao ndio uliokuwa Ukipitisha jina la nani agombee uraisi hr Chadema imejitoa na kuufuta UKAWA? Wanadai kuwa Lisu ni kiongozi wa juu wa Chadema na Mwanasheria anayejua juu ya makubaliano ya UKAWA kuhusu namna mgombea uraisi anavyopatikana ndani ya UKAWA kuwa huteuliwa na kupitisha na UKAWA na baadaye huungwa mkono na washirika wote wa UKAWA.Lisu kwenye matamshi yake anaonyesha wazi kuwa kazi hiyo sasa ni ya chadema pekee ndio itaifanya sio UKAWA.Wanataka chadema itoe tamko kuhusiana na hilo tamko la Tundu Lisu Mwanasheria mkuu wa Chadema na anayejinasibu kuwa mbobesi sana kwenye Sheria je chadema na Lisu bado wanaitambua au hawaitambui tena UKAWA na wala hawaihitaji? Majukumu ya kumteua mgombea uraisi yaliyokuwa yanafanywa pamoja na vyama vyote vya UKAWA majukumu.hayo hayapo tena chadema itajifanyia kivyake? Wanahoji.Kama UKAWA haupo tena na hahitajiki tena ni kikao kipi kilipitisha kuwa sasa Kila chama mshirika wa UKAWA ruksa kijiteulia mgombea wake wa Uraisi?.Washirika wa UKAWA wanaitaka Chadema itoe kauli kuhusu matamko hayo ya Lisu kuwa wanakubaliana nayo au la na kama ndio msimamo wa chama kuwa chadema ndicho kitakachoamua nani mgombea Uraisi na Sio UKAWA.
CCM mnamtaka nani?Alisema ajipitishwa na chama chake wakati kama mwanasheria alitakiwa asema kama Umoja wetu wa UKAWA utaishia kuonyesha kuwa anaheshimu makubaliano ya UKAWA na ana adabu kwa UKAWA na kuonyesha jumuiya ya kimataifa kuwa Upinzani uko united na hatta mgombea huteuliwa kwa pamoja sio issue ya chama kimoja hilo lingeweza kuutangaza vizuri Upinzani wa Tanzania na kujifanya uuzike vizuri kwa wazungu.Lakini Kila akiulizwa kugombea uraisi anataka huteuliwa na chama chake tu hataji neno mdomoni linaloitwa UKAWA wakati ugombea Uraisi ni jambo la muungano wa UKAWA si jambo la chama kimoja .
Jesus christ!!!Are you primary kid?Stop advertising your foolishness!!!Can you sense something that is written? Is that the use of senses?
Safari hii ni chama cha ATC ndicho kitawakilisha 'ukawa' kwenye kinyanga'anyiro cha urais!!!UKAWA wanashirikiana tu hata Lowasa aligombea urais kupitia CHADEMA