Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.
Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.
<br /><br />Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.
<br />Vigezo ni vingi jamani. Waliokosa wengi ni wenye uwezo wa kujilipia.Mfano mtu amemaliza f4 mwaka 90,si huyu anakazi kwanini asijilipie? Au mtu amesoma st.mary's analipa milion moja na zaidi anashindwa nini leo kujilipia? Mkopo ni wa makabwela! Wapo wengi tu wenye uwezo mkubwa lakini kwa mfumo uliopita walikuwa wanapata mkopo hali ambayo sio sawa na si haki kwa kuwa wanawabana wale wahitaji wakubwa ambao ni maskini. Kwa mfanyakazi anaweza kujibanabana lakini pia ukumbuke mwajili wake anamlipia sasj mkopo apewe wanini? Mkopo wapewe wahitaji. Tatizo wabongo tunapenda vya bwerere mno japo utarudisha,kiukweli tunahusudu starehe.Nenda vyuoni uone huo mkopo unafanyiwa nini zaidi ya starehe.Watanzania tuwe wakweli jamani!
<br /><brVigezo ni vingi jamani. Waliokosa wengi ni wenye uwezo wa kujilipia.Mfano mtu amemaliza f4 mwaka 90,si huyu anakazi kwanini asijilipie? Au mtu amesoma st.mary's analipa milion moja na zaidi anashindwa nini leo kujilipia? Mkopo ni wa makabwela! Wapo wengi tu wenye uwezo mkubwa lakini kwa mfumo uliopita walikuwa wanapata mkopo hali ambayo sio sawa na si haki kwa kuwa wanawabana wale wahitaji wakubwa ambao ni maskini. Kwa mfanyakazi anaweza kujibanabana lakini pia ukumbuke mwajili wake anamlipia sasj mkopo apewe wanini? Mkopo wapewe wahitaji. Tatizo wabongo tunapenda vya bwerere mno japo utarudisha,kiukweli tunahusudu starehe.Nenda vyuoni uone huo mkopo unafanyiwa nini zaidi ya starehe.Watanzania tuwe wakweli jamani!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kwahvyo wataka kusema kuwa waliokosa wana uwezo wa kulipa...nataman nikutwange ngumi mshenzi ww. Wazazi wetu wamefariki mwaka jana mdogo wangu amesoma private za wazazi..na amefaulu kwa kiwangi kizuri na bodi hawajampa mkopo afu unaleta upuuzi wako hapa.
<br />&lt;br /&gt;<br <br />
nadhani huna uwezo wa kudadavua mada ndo maana unatumia MASABURI kuendesha akili zake. Vyabwerere? Ikoje ikiwa mtu analipa na ameshasikia mwanaf kala ada kashindwa kusoma? Unapokopa unafahamu una shida haiwezekani ukakopa ikiwa huna ulazima. Amuru akili zako kwenda sambamba na mdomo wako lasivyo Nafsi itatawala maamuzi yako na utapata matatizo. Jitu zima umachangia mambo yasiyo na maana pu****fu!
Wana JF leo jioni mkurugenzi msaidizi wa elimu wa bodi ya mikopo amesema, nammnukuu:
"WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO MWAKA HUU WAJARIBU MWAKA KESHO"
nawaonea huruma watoto wa wakulima waliozungukwa na mdini na rasilimali kibao, nadhani mwaka kesho hali itakuwa mbaya zaidi,huku watoto wa vigogo wakipeta ktk elimu bora.
Mnasemaje jamani wana jf?