mkuu Nicholaus mimi namsifu sana Dr Slaa kwa hatua aliyoichukua ya kuwaita hao walevi wa viroba wabeba mabango mbele ya mkutano na kuwaomba waeleze madukuduku yao. kwa kweli madukuduku hawana na imedhihirika kuwa wametumwa. hii ni strategy nzuri aliyoitumia dr.
kuonyesha cdm iko gado mikutano yote hao walevi wa viroba na mabango yao wawekwe mbele na waulizwe maswali km wale wa mkutano wa kwanza. cdm ni chama cha demokrasi mkuu. viva cdm. stronger we shall stand, forever.
Kwa alioona na kufuatilia media ni wazi watakuawa waskishangaa nini kinaendelea.NI matamasha ya wahuni "Wahuni days".Tamasha linalohusisha wahuni wa CCM kwa ufahidi wa CCM wenyewe.
Mojawapo aya tabia zao ni kupenda igiza vyama pinzani,kuwafanyia fujo,na kuwa wasemaji wa vyama hivyo au hata kuwafariji na kuwasaidia mabaki ambayo bado hayajaamini kutupwa nje ya vyama hivyo.
Maeneo mengisa na atamasha haya yanaoneka kufifia harak asna muda mfupi baada ya kuanza..na wataalamu wa mambo na mashuhuda wanasema matamasha haya ni km hayakufanyika kabisa kwa jinsi yalivyokosa nguvu,mvuto aua ushawishi.
Mwaka huu hawa wahuni wanakwenda sambasamba na mikutano ya CDm haswa ya dr.Slaa.wakiwaigiza, wakipa wujumbe,wakichoba bendera mpya,wakiwa waandishi wa habari na wakiwa km wahusika ktk uchomaji wa Bendera.Sababu za hawa ahuni kufifia huku wakiwa na ufahdili mkubwa wa CCM wenye hele haramu na chafu sana.NI pamoja na kutokuwa namvuto, ni pamoja na wao kuchagua upande mbaya wa historia, upande mbaya wa fikra, na vitu vyote vinavyowaudhi wananachi.