Matajiri hawawezi leta Mabadiliko- Polycarp Kadinal Pengo

Matajiri hawawezi leta Mabadiliko- Polycarp Kadinal Pengo

Lowasa anausika vipi na mada?!embu jitafakarii na ujitambuee.
Mada ni utajiri na mabadiliko. Kwenye kampeni tuliambiwa hakuna mabadiliko bila lowasa na tukaelekezwa kuzungusha mikono tukiimba lowasa, huwezi kuona uhusiano?!
 
Lazma awapambe maskini leo, anawaambia nyie ndo wakuleta mabadiliko, wakat Mungu wetu ndo owner wa kila kitu. Mungu ndo Tajiri, huyu mtu anakuja kuongea nn sasa, wacha awapambe maskini wampe hela nyingi ili akazitumbue vizuri!
 
Kati ya watu ambao sina imani nao katika kanisa katoliki ni kardinali pengo, askofu kilaini na yule askofu dogo wa dar aliyekula pesa ya eskrow
 
Mi ni mkattoliki lakini namuombea afe hata leo au astaafu mapema maana uzee unachangia kutojielewa kwenye uchaguz aliipigia debe ccm na magufuli eti kwa kua ni mkatoliki huyu ananiboa sana siasa kanisani za nini
 
Pengo ajiuzuru KANISA LILICHAFULIWA NA ESCROW ila hakuongea lolote
 
Mabadiliko yapi unayoongolea ?

Kama ni utu na maisha ya upendo basi hauhitaji pesa ili kufanikisha hayo...

Ila kama ni Dunia hii tuyoishi sasa ya materialistic basi bila fedha hatuwezi kupata hicho tunachokitaka, mambo ya maji miundombinu megawatts n.k.

In short hapa ya Kaisari inabidi tumwachie Kaisari
 
Kanisa katoliki inabidi lionyeshe njia inayofaa lakini wao ndio wanenda tofaut hasa huyu pengo maaskofu wamepokea pesa za escrow
Lakini sijui kama kuna hatua zimechkuliwa huu msaada wa kifisadi ni wa kaxi gani ndani ya kanisa michango yetu inatosha kabisa kuliko kupokea misaada yenye kashfa
 
Hili sio dhehebu,hili ndilo kanisa hasa la Bwana Yesu Kristo.Jifunze historia ya Kanisa
Linaloruhusu watoto walaawitiwe na hatua hazichukuliwi si miongoni mwa mafundisho ya bwana yesu
 
Pengo ana nikumbusha paroko wetu wa hapa kirumba ...wakati wa kampeni alisema ni vyema wakamchagua kiongozi wanayeweza kumwita na kumwambia atubu.

Pengo anaye penda serikali mbili lini anataka mabadiriko?
 
Mungu huamini katika ujamaa.....binadamu wamebadilisha wanaamini kwenye ubinafsi
 
Back
Top Bottom