MATAGA mkimzingua atawazingua, Rais hataki ujinga

MATAGA mkimzingua atawazingua, Rais hataki ujinga

Hivi ni kweli MATAGA wanamtukana Rais wa chama chao au naota?

Hili ni ajabu la dunia. Kosa tu kasema hataki dhuluma.
 
Tutarudi hapa tena kumtukana mama wa watu na kitu ambacho wengi huwa hawaelewi tatizo ni mfumo uliopo mama anaenda kuhujumiwa mchana kweupe wenye mfumo wao wanamhesabia tu awajaze maneno matamu watanzania wapiga zumari
Watu wa idara ya habari na mawasiliano wameshaanza kupindisha maagizo yake !
 
Matanga ni chama gani?maana Rais ni wa ccm
 
Mweyezi Mungu ambariki na amzidishie Hekima na zaidi ampe ulinzi wa mwili na Roho!
 
Back
Top Bottom