Mtoto wa kijiji
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 319
- 185
Ni ndani ya jiji la Arusha. Mataa ya Sanawari karibu mwezi sasa ni giza totoro. Nini tatizo haswa,ni wataalam au pesa?
Nawasilisha
Nawasilisha
Umewahi kupiga simu tanesco?Ni ndani ya jiji la Arusha. Mataa ya Sanawari karibu mwezi sasa ni giza totoro. Nini tatizo haswa,ni wataalam au pesa?
Nawasilisha
Hakuna asiyefahamu kua traffic lights sanawar zimezima zaidi ya mwezi sasa....Umewahi kupiga simu tanesco?
Mkuu..tanesco ndo wanadeal na traffic lights?Umewahi kupiga simu tanesco?
Traffic lights na giza totoro wapi na wapi ??Mkuu..tanesco ndo wanadeal na traffic lights?
Vp mama la mama?.Mkuu..tanesco ndo wanadeal na traffic lights?
Ndio maana nimemuuliza huyo aliyeihusisha tanesco na traffic lightsTraffic lights na giza totoro wapi na wapi ??
Poa baba la babaVp mama la mama?.
Karibu mchemsho tuikemee baridi.Poa baba la baba
Sijapita road ya sanawari nahisi huu mwezi karibu wa 3Hakuna asiyefahamu kua traffic lights sanawar zimezima zaidi ya mwezi sasa....
Aisee usinifanye niache kila kitu hapaKaribu mchemsho tuikemee baridi.
Fanya chap uje rombo deluxe mama la mama.Aisee usinifanye niache kila kitu hapa
Fanya chap uje rombo deluxe mama la mama.

umeamua kuhangaika na neno totoro....umeelewa hoja ya msingi inatosha.Traffic lights na giza totoro wapi na wapi ??