Maswali ya written utumishi??

Maswali ya written utumishi??

faabroz

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
286
Reaction score
69
Kwanza wadau pole na mihangaiko, naomba kusaidiwa waliofanya mitihan mchujo utumishi, maswal wanalenga nin profesional au general?? nmeitwa huko.
 
Kwanza wadau pole na mihangaiko, naomba kusaidiwa waliofanya mitihan mchujo utumishi, maswal wanalenga nin profesional au general?? nmeitwa huko.

What are you capable of btn the two?
 
Hahaa tajeni field mlizoomba tuwamwagie maujanja.
 
Huwa wanuliza aswali general kama
1:"unapenda muundo upi wa serikali kati ya serikali moja, serikali mbili au serikali tatu"
2: upi ni msimamo wako juu ya hilo?

3: kati ya M4C na vua gamba unapenda ipi?
4:kati ya CHADEMA, CCM Na CUF kipi ni bora ?
 
Huwa wanuliza aswali general kama
1:"unapenda muundo upi wa serikali kati ya serikali moja, serikali mbili au serikali tatu"
2: upi ni msimamo wako juu ya hilo?

3: kati ya M4C na vua gamba unapenda ipi?
4:kati ya CHADEMA, CCM Na CUF kipi ni bora ?

You are not serious my friend
 
Huwa wanuliza aswali general kama
1:"unapenda muundo upi wa serikali kati ya serikali moja, serikali mbili au serikali tatu"
2: upi ni msimamo wako juu ya hilo?

3: kati ya M4C na vua gamba unapenda ipi?
4:kati ya CHADEMA, CCM Na CUF kipi ni bora ?

watu wanauliza maswali ya msingi then wewe unaleta utani
 
utani kwako, ila tulio kwenye panel ya interview ndo tunakupa live bila kumung'unya mung'unya maneno.
 
utani kwako, ila tulio kwenye panel ya interview ndo tunakupa live bila kumung'unya mung'unya maneno.

maswali ya utumishi huwa niya darasani kwa kile ulichojifunza,nakushauri kutafuta job description katika tangazo la kazi.wanabase hapo nimefanya written nyingi utumishi.wish you all the best
 
nami nilijiulizaga kama wewe wanauliza nn? kwakuwa mi ni mchumi nikakuta maswali kama ni njia zipi bot wanatumia kupunguza inflation? swal jingine lilikuwa hivi ni jinsi gan tz itanufaika na eac na changamoto zake katika muungano huo? so expect maswal ya field yako , pitia basics topic zote utafanikiwa .
 
duh! Kumbe mmeitwa?
Kwahyo sie ambao kimya ndo basi tena!
 
Huu mtandao umeshaingiliwa na majangili na division zero za Mulugo!
Hata ukiuliza kitu kizuri majangili ya meno ya tembo yanavamia na kuchangia upuuzi tu!
Kama kitu hakikuhusu au hukijui kwa nini udakie!
Watanzania sisi tuna shida za kujua angalau na sisi tupate maisha watu wanatia viherehere vyao! UGREAT THINKING UKO WAPI JF TENA?
 
Back
Top Bottom