Maswali ya Written Interview Tutorial Assitant?

Yaani hii case yake ni System tu ndio ime command hivyo.
na utumishi wamesema hawwz badili. maana mzigo mpk umekuwa Published inamaana walisha signed.
Kwahyo akidai haki yake inakuwaje hapo..?
Mimi bado siamini katika hili, nahisi Kuna kitu nyuma ya Pazia.. coz ni kwa mara ya kwanza naona haya maruerue
 
Kk teaching ODL unakusudia nn?
 
Yani kuna dogo langu ameomba Tutorial assistant IFM, naona kama vyuo vina hujuma, mpaka natamani nisimpe nauli, asubiri taasisi zenye utaratibu unaoeleweka zaidi.
 
Yaani hii case yake ni System tu ndio ime command hivyo.
na utumishi wamesema hawwz badili. maana mzigo mpk umekuwa Published inamaana walisha signed.
Nimeangalia muda huu kwenye website ya OUT kashabadilishiwa. Jamaa aliamua kwenda hivyo hivyo au alikataa tamaa kabisa
 
Kwahyo akidai haki yake inakuwaje hapo..?
Mimi bado siamini katika hili, nahisi Kuna kitu nyuma ya Pazia.. coz ni kwa mara ya kwanza naona haya maruerue
Kashabadilishiwa mkuu.
 
Ukiwa na watu au mtu anayekutegemea sana na anatafuta ajira, unawezakujikuta kuna muda kama wewe ndiye unahangaikia ajira kuliko hata yeye anavyojihughulisha.

Najua ni lazima ana akaunti ya Jf, natamani ningeijua user name yake ili niwe namtag kwa lazima kwenye nyuzi zinazomfaa kwa sasa. Ila cha ajabu, unaweza kuta, masikini mwenyewe hana habari anashinda kwenye kula tunda kimasihara.
 
Yapo kweny Website ya UTUMISHI mkuu yametoka leo.
Kwa uzoefu huo mtihani wa kuandika utakuwa ni kwa ajili ya kuchuja watu watakao fanya usahili wa mamneo (oral interview) kwa hiyo huenda kwanza ikawa ni English Test, then paper nyingine itakuwa ya profession yaani Chemistry, lakini pia jiandae kwa oral interview na kwa kuwa wanatafuta tutorial assistant ujiandae pia kwa presentation! Kila la kheri
 
Kama bado hana majukumu hawezi kuelewa umuhimu wa kuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…