Ukiwa na watu au mtu anayekutegemea sana na anatafuta ajira, unawezakujikuta kuna muda kama wewe ndiye unahangaikia ajira kuliko hata yeye anavyojihughulisha.
Najua ni lazima ana akaunti ya Jf, natamani ningeijua user name yake ili niwe namtag kwa lazima kwenye nyuzi zinazomfaa kwa sasa. Ila cha ajabu, unaweza kuta, masikini mwenyewe hana habari anashinda kwenye kula tunda kimasihara.