Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 523
- 525
Tafadhali rejea kichwa cha habari naomba kuuliza ni aina gani ya mitihani hutolewa na Secretariat ya utumishi wa umma kwenye interview ya mchujo? kama kuna watu waliofanya interview ya hivi karibuni; TFDA, TBS; wakishiriki nasi uzoofu utakuwa msaada mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app