Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 683
- 856
Habari zenu wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo kwa wenye uzoefu na interview za tra vipi maswali yanaweza kua kwa upande gani hasa kwa nafasi ya custom officer II pamoja na Tax officer II
Naomba kwa wenye ujuzi na uelewa zaidi tusaidiane wakuu
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kwa wenye ujuzi na uelewa zaidi tusaidiane wakuu
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app