von Meshak
Member
- Aug 20, 2014
- 12
- 3
1. Ikiwa Rasimu ya pili iliyoandikwa na TUME
YA WARIOBA ndio maoni ya wananchi na
iliandikwa kwa ustadi mkubwa na wataalamu
wa masuala ya uandishi wa katiba na wenye
uzoefu ilipelekwa bungeni kufanya nini?
2. Ikiwa muundo wa Serikali 3 ni
mapendekezo ya wananchi japo idadi ya
waliotoa maoni hayo haikuwa kubwa
ukilinganisha na waliotaka mahakama ya
KADHI kwanini uliuweka muundo huo na
mhakama ya KADHI hamkuiweka au
hayakuwa maoni ya wananchi, na ikiwa
mliona yanaweza kuleta mtafaruku kidini,
kwanini mliweka muundo wa serikali 3 ikiwa
nao mlijua utaleta mtafaruku? Au yale maoni
yaliyotolewa ya kuwepo mahakama ya kadhi
yalikuwa sio ya wanchi? Na yawananchi ni
yale ya muundo wa serikali 3?
3. Wapo ambao hawakutaja muundo wa
serikali ila mkasema eti kwa namna
walivyokuwa wakitoa maoni yao mliona
kabisa muelekeo wao ni waserikali 3, hivi
mlikuwa na kipaji gani cha kujua kilicho
kichwani kwa mtu aidha serikali 3 au 4 nk?
4. Kwanini mnalazimisha wananchi waipende
rasimu mliyoiwasilisha ninyi, na utashi wa
kweli ni upi kwa mwananchi, ni juu ya rasimu
mliyoitoa nyinyi au iliyorekebiswa na BUNGE,
na kama ni hivyo nani mwenye uhalali wa
kusema hii ndiyo ya wananchi ikiwa
wananchi wenyewe ni sisi, na mwananchi
yupi ambaye huesabika huyu ndie
mwananchi halali wa kuipitisha katiba na
wale watakao ikubali sio wananchi, na kama
sio wananchi wanaruhusiwa kupiga kura ya
maoni hayo?
5. Kwanini unapinga uwepo wa baraza la
vijana inamaana hupendi vijana wawe na
baraza? Ulitaka wawe na kaibara kamoja
kama ...............
6. MWISHO tambua wapo wanaoamini na
kuiona RASIMU ya WARIOBA ndio nzuri kwao
na wapo wanaiona KATIBA
INAYOPENDEKEZWA ya CHENGE ndio nzuri
kwao. Kamwe wanaadamu hawawezi kuwa
na muono wa aina moja.
YA WARIOBA ndio maoni ya wananchi na
iliandikwa kwa ustadi mkubwa na wataalamu
wa masuala ya uandishi wa katiba na wenye
uzoefu ilipelekwa bungeni kufanya nini?
2. Ikiwa muundo wa Serikali 3 ni
mapendekezo ya wananchi japo idadi ya
waliotoa maoni hayo haikuwa kubwa
ukilinganisha na waliotaka mahakama ya
KADHI kwanini uliuweka muundo huo na
mhakama ya KADHI hamkuiweka au
hayakuwa maoni ya wananchi, na ikiwa
mliona yanaweza kuleta mtafaruku kidini,
kwanini mliweka muundo wa serikali 3 ikiwa
nao mlijua utaleta mtafaruku? Au yale maoni
yaliyotolewa ya kuwepo mahakama ya kadhi
yalikuwa sio ya wanchi? Na yawananchi ni
yale ya muundo wa serikali 3?
3. Wapo ambao hawakutaja muundo wa
serikali ila mkasema eti kwa namna
walivyokuwa wakitoa maoni yao mliona
kabisa muelekeo wao ni waserikali 3, hivi
mlikuwa na kipaji gani cha kujua kilicho
kichwani kwa mtu aidha serikali 3 au 4 nk?
4. Kwanini mnalazimisha wananchi waipende
rasimu mliyoiwasilisha ninyi, na utashi wa
kweli ni upi kwa mwananchi, ni juu ya rasimu
mliyoitoa nyinyi au iliyorekebiswa na BUNGE,
na kama ni hivyo nani mwenye uhalali wa
kusema hii ndiyo ya wananchi ikiwa
wananchi wenyewe ni sisi, na mwananchi
yupi ambaye huesabika huyu ndie
mwananchi halali wa kuipitisha katiba na
wale watakao ikubali sio wananchi, na kama
sio wananchi wanaruhusiwa kupiga kura ya
maoni hayo?
5. Kwanini unapinga uwepo wa baraza la
vijana inamaana hupendi vijana wawe na
baraza? Ulitaka wawe na kaibara kamoja
kama ...............
6. MWISHO tambua wapo wanaoamini na
kuiona RASIMU ya WARIOBA ndio nzuri kwao
na wapo wanaiona KATIBA
INAYOPENDEKEZWA ya CHENGE ndio nzuri
kwao. Kamwe wanaadamu hawawezi kuwa
na muono wa aina moja.