Mambo vp wadau,
Naomba kuuliza aptitude test za nmb kwa post ya bank officer maswali huwa yanakuaje? Ni ya kusoma au kutumia akili tu?
Naomba msaada mie mwenyewe sielewi ndio maana nimeuliza!
Kuna test mpya sasa inaitwa AMCAT Employability Assessment. hiyo ndo iko in sasa Tanzania. Unaweza kufanyia nyumbani kama upo kwenye mtandao na unaingia kwenye.
Test ni bure.Watu wanapata kazi ile mbaya kupitia hii test!
Mambo vp wadau,
Naomba kuuliza aptitude test za nmb kwa post ya bank officer maswali huwa yanakuaje? Ni ya kusoma au kutumia akili tu?