Moja kati ya vitu ambavyo jamii kubwa ya viongozi na wasomi wa Tanzania wameshindwa kuvitolea ufafanuzi kuanzia mwalimu Nyerere ambaye alikuwa muasisi wa taifa hili la Tanzania mpaka viongozi wa sasa nakubakia kuwa vitu tatanishi, nimeamua kuyaleta forum ili tufanye discusion mambo yafutayo;
1.Je ni kwanini bendera na katiba ya Tanzania na Zanzibar ni tofauti wakati Zanzibar ipo ndani ya Tanzania? je muungano una maana gani?
2.Kwanini makao makuu ya nchi huru ya Tanzania yapo DAR ES SALAM ikiwa pamoja na Ikulu takatifu ya rais na isiwe katika mji mkuu wa Tanzania DODOMA, je bunge tu ndio makao makuu ya Tanzania?
3.Je ni kwanini tunaazimisha Tanzania kama nchi huru tarehe 9 /12 kila mwaka na wakati Tanzania ni muunganiko wa nchi huru mbili ambazo zilipata Uhuru siku tofauti, Je ni Tanganyika au Tanzania ilipata Uhuru vipi kuhusu Zanzibar?
Vipi Kuhusu sherehe za muuangano na jina la Tanzania.
4.Ni kwanini Tanzania tunatumia kingereza kama lugha ya kufundishia wakati watoto wakirudi nyumbani wanatumia kiswahili kama lugha kuu ya mawasilino?
5.Kwanini ofisi na ngazi zote za kiserikali wanaandika ripoti kwa kingereza na sio kwa kiswahili.
-je umuhimu wa lugha ya kiswahili uko wapi?
6.Kwanini vijana wengi wanaomaliza elimu ya chuo kikuu hawawezi kujiajiri pindi wanapokosa ajira, je mfumo wa elimu ndio mbovu
ama walimu ndio wabovu.
Wakuu tufanyeni discussion with opinion to our country.
1.Je ni kwanini bendera na katiba ya Tanzania na Zanzibar ni tofauti wakati Zanzibar ipo ndani ya Tanzania? je muungano una maana gani?
2.Kwanini makao makuu ya nchi huru ya Tanzania yapo DAR ES SALAM ikiwa pamoja na Ikulu takatifu ya rais na isiwe katika mji mkuu wa Tanzania DODOMA, je bunge tu ndio makao makuu ya Tanzania?
3.Je ni kwanini tunaazimisha Tanzania kama nchi huru tarehe 9 /12 kila mwaka na wakati Tanzania ni muunganiko wa nchi huru mbili ambazo zilipata Uhuru siku tofauti, Je ni Tanganyika au Tanzania ilipata Uhuru vipi kuhusu Zanzibar?
Vipi Kuhusu sherehe za muuangano na jina la Tanzania.
4.Ni kwanini Tanzania tunatumia kingereza kama lugha ya kufundishia wakati watoto wakirudi nyumbani wanatumia kiswahili kama lugha kuu ya mawasilino?
5.Kwanini ofisi na ngazi zote za kiserikali wanaandika ripoti kwa kingereza na sio kwa kiswahili.
-je umuhimu wa lugha ya kiswahili uko wapi?
6.Kwanini vijana wengi wanaomaliza elimu ya chuo kikuu hawawezi kujiajiri pindi wanapokosa ajira, je mfumo wa elimu ndio mbovu
ama walimu ndio wabovu.
Wakuu tufanyeni discussion with opinion to our country.