Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
Pengine sikueleweka , nilikua namaanisha mleta mada ameuliza maswali mengi ambayo yote ni muhimu , nilikua nashauri alete swali moja baada ya jingine ili aweze kupata mchango wa kutosha. Nimeshangaa kuona hii lugha nisiyoijua "mlamu mtarajiwa " kwani vipiHahahah! Sijui kama wa Litola au la, ila sio ishu Ngalikihinja anaweza kujiswapia tu kama mimi nilivyojiswapia kitu cha Ushirombo! Dada utandawazi,
Ila ipo nafasi kwa mlamu mtarajiwa Ablessed kuja kuweka sawa jambo hili