Maswali matano(5) kwa wana MMU

Maswali matano(5) kwa wana MMU

Walas Ba

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2012
Posts
3,393
Reaction score
1,734
Habr zenu wakuu na wadogo pia,bt wote mtahusika kwenye huu uzi!

1-Kwanza kabisa napenda kuwauliza inavyosikika wapenz wanasema kuwa hatuta achana kwenye shida,miteremko na mabonde huwa mna maana gani hasa?,
Hivi ikitokea mwenz wako ana cheat hiyo huwa haipo kwenye upande wa shda,mabonde au milima katika mahusiano yenu??

2-Pia wajamen napata wakati mgumu sana kuelewa upofu wa mapenz kama ambavyo nimekuwa nikickia,toka nikiwa mdogo.

3-Naona kuna watu hata humu wanafurahia mapenzi,je? hawa ndo waliumbwa kwaajil ya mapenzi,na kama yes,kwanin we kila mwaka unachezea vbut na kama hapana kwa nini wewe na umpendaye msiweze?

4-Hiv umekuwa ukijiuliza mara ngapi kabla hujaanza mahusiono na huyo unaedhan kwamb unampenda?,

5-Halafu kuna ugumu gani mtu kujua kama anapendwa na yeye akathubutu kupenda kwa dhati?

Namalizia kwa kusema hv jiulize what u need kutoka kwa mpenz pande zote yani ndan na nje yake!!!

Wenu Walas Ba
 
Last edited by a moderator:
hao maswali yako yanahitaji upembuzi yakinifu kwani yanaweza kuleta mjadala mrefu kama hapo unaposema kabla hujaanza mahusiano ulifikiria nini huoni kuna wengine wanataka kuduu halafu wasepe wengine wanasema nimkubalie halfu sitampenda kiivo mwishoe anazama kabisa..

haya maswali ni utata mtupu..

#MapenziYanaRunDunia
 
Wengine huongea maneno hayo kwa kufuata mkumbo na si kwa dhamira zao.
 
Mmh! Maswali ni mengi hebu ngoja nijibu hilo lakwanza.
Swala la kucheat halipo kwenye milima mabonde,shida, wala makorongo hilo lipo kwenye RAHA. Coz ninavyojua mimi huwa wanasema SHIDA NA RAHA so kama mtu anacheat ujue huyo yupo kwenye group la raha sio milima wala mabonde. Lol!
 
Mkuu kila swali ulilouliza linatosha kuwa thread moja, kwa kufanya hivyo ingekuwa rahisi sana wana jf kwenye jukwaa la MMU kukupa michango sahihi na wewe na wengine nikiwemo mimi kufaidika kufaidika na michango hiyo. Ulivyoweka inakuwa kama mtihani tena, unajibu swali then unarudi kuangalia swali linalofuata linauliza nini.

Ushauri lete thread hii katika mada tano tofauti.
 
Habr zenu wakuu na wadogo pia,bt wote mtahusika kwenye huu uzi!

1-Kwanza kabisa napenda kuwauliza inavyosikika wapenz wanasema kuwa hatuta achana kwenye shida,miteremko na mabonde huwa mna maana gani hasa?,
Hivi ikitokea mwenz wako ana cheat hiyo huwa haipo kwenye upande wa shda,mabonde au milima katika mahusiano yenu??

Mabonde na milima hayo ndo matatizo yanayowakumba katikamahusiano yenu.
Miteremko ndo kule kuyafurahia mahusiano yenu ambako either mmeyavuka mabonde na milia au ndo mnaanza katika mteremko.
Kumcheat mtu huko ndo kushindwa kuyahimili mabonde na milima iliyopo either kumsaliti kwa tamaa za pesa huku uendapo or ather things

2-Pia wajamen napata wakati mgumu sana kuelewa upofu wa mapenz kama ambavyo nimekuwa nikickia,toka nikiwa mdogo.
Upofu katika mapenzi ni kumwamini mwenzi wako kupita kiasi, yaani hata mtu akikwambia jambo lolote linalomhusu mpenzi wako unamkania bila hata kulifanyia kazi. Kwa maelezo zaidi pitia hapa cant-you-love-someone-with-all-your-eyes-clear utapata somo zuri kuhusiana na upofu katika mapenzi.

3-Naona kuna watu hata humu wanafurahia mapenzi,je? hawa ndo waliumbwa kwaajil ya mapenzi,na kama yes,kwanin we kila mwaka unachezea vbut na kama hapana kwa nini wewe na umpendaye msiweze?
Sio kwamba mkiyafurahia mapenzi ndo mmeumbiwa mapenzi, lahasha!!!Ni jinsi tu waluvyoweza kuyahandle mambo yao, japo muda mwingine unakuta wanalumbana ila uvumilivu na usiri unawasaidia kuyavuka mabonde na milima hiyo.

4-Hiv umekuwa ukijiuliza mara ngapi kabla hujaanza mahusiono na huyo unaedhan kwamb unampenda?
Kila mtu hujiuliza kwa kadri anavyomtafsiri yule ampendae.
5-Halafu kuna ugumu gani mtu kujua kama anapendwa na yeye akathubutu kupenda kwa dhati?

Ni kuwa mwangalifu tu isije ikiwa anakupenda kwasababu ya kitu fulani either kwaajili ya pesa zako, utajiri wako, uzuri wako na pindi ukiwa hauna hivyo vitu anakuacha na kutafuta mwingine mwenye navo.
 
Unamaswali mengi kwani we ni polisi??

Unaweza sema hvyo bt me bdo cjaridhka na jibu lako,maana napata wakati mgumu xna kuhusu hayo,embu jarib kufikr beyond reality uchangie ili japo 2pate,majawab ,bt thanks
 
Mkuu kila swali ulilouliza linatosha kuwa thread moja, kwa kufanya hivyo ingekuwa rahisi sana wana jf kwenye jukwaa la MMU kukupa michango sahihi na wewe na wengine nikiwemo mimi kufaidika kufaidika na michango hiyo. Ulivyoweka inakuwa kama mtihani tena, unajibu swali then unarudi kuangalia swali linalofuata linauliza nini.

Ushauri lete thread hii katika mada tano tofauti.

Haina shida ngoja nione michango nikiona vema ntafanya hvyo
 
saudari,
inakuwa raha wapi maana kuna upand unalia.
........................................
Mabonde na milima hayo
ndo matatizo
yanayowakumba
katikamahusiano yenu.
Miteremko ndo kule
kuyafurahia mahusiano
yenu ambako either
mmeyavuka mabonde na
milia au ndo mnaanza
katika mteremko.
Kumcheat mtu huko ndo
kushindwa kuyahimili
mabonde na milima
iliyopo either kumsaliti
kwa tamaa za pesa huku
uendapo or ather things
 
Last edited by a moderator:
I guess you r in love and from a very hurting relationship!!
 
Ktk mapenzi suala la kumpenda mtu sio kitu na kupendwa na mtu angalau ni kitu lakini kumpenda mtu anayekupenda hapo ni kila kitu, maana hayo maswali yako hayatakuwapo. ila yatakuwapo ikiwa maneno yaliyokuwa bolded sio halisi ktk mapenzi husika.
 
saudari,
inakuwa raha wapi maana kuna upand unalia

Mkuu Walas Ba naomba uelewe kwamba katika mapenzi usidhani kwamba muda wote ni muda wa furaha tu, kuna muda mwingine ni wa matatizo na kama hauna moyo wa uvumilivu unaweza kusumbuka sana na hasa kubadili wapenzi mara kwa mara huku ukitafuta ni nani ambaye hatokukwaza(kukuliza).

Watu wamekuwa hawana uvumilivu kabisa yaani misunderstand kidogo tu watu wanaachana na kutafuta wapenzi wengine, unadhani kwa mwendo huu tutaacha kuumizwa mara kwa mara?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom