Maswali magumu ya kisiasa kwa Zitto Kabwe

mwengeso

JF-Expert Member
Nov 27, 2014
9,219
6,650
Kwa mara ya kwanza nimguswa na maswali magumu ya Mh Zitto kuhusu hamahama ya Wanasiasa, kama yalivyonukuliwa kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili Desemba 17, 2012.

Nayaweka hapa chini:
1) Je, hakuna sababu za ndani sisi wenyewe zinazokimbiza wanachama wetu? Kama zipo ni zipi?

2) Je, ni sababu ambazo tunaweza kuzirekebisha na kukiimarisha chama?

3) Kama ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu tunafanya nini ili kuzikabili?

4) Je, bado sisi tunaamini katika misingi ya chama kwa mujibu wa Azimio la Tabora?

5) Tulikuwa kundi tu tulioumizwa na vyama tulivyokuwamo na tukaamua kuunda chama kupoza hasira zetu tu na sasa hasira zimeisha, hakuna sababu ya chama kuwapo?
[/B.

Hongera Mh Zitto kwa kuwa mkweli. Mawazo hayo yanakuingiza kwenye kundi la wanasiasa waliokomaa.

Kwangu mimi sababu kubwa ya kuhamahama ni kubadilika kwa mitazamo, imani na itikadi ya viongozi wa juu wa vyama vya siasa tofauti na msingi ya vyama vyenyewe. Hii ikichangiwa na nguvu wanayokuwa nayo viongozi, ufinyu wa demokrasia ndani ya chama, na uchu wa madaraka, wanachama/viongozi wasio na uvumilivu, au wanaojitambua huamua kuhama.

Maswali ya Mh Zitto yanahitaji mjadala wa kina.

cc: Mwanahabari Huru, tindo, swissme, Daudi Mchambuzi, kisu cha ngariba, francis12, barafuyamoto, Retired, Erythrocyte, Paskali, jingalao, Nyani Ngabu, MM, Petro E. Mselewa, nk
 
Naona umeamua kuwachagua wachingiaji mapema anyway acha nipite kushoto
 
Kwa mara ya kwanza nimguswa na maswali magumu ya Mh Zitto kuhusu hamahama ya Wanasiasa, kama yalivyonukuliwa kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili Desemba 17, 2012.

Nayaweka hapa chini:
1) Je, hakuna sababu za ndani sisi wenyewe zinazokimbiza wanachama wetu? Kama zipo ni zipi?

2) Je, ni sababu ambazo tunaweza kuzirekebisha na kukiimarisha chama?

3) Kama ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu tunafanya nini ili kuzikabili?

4) Je, bado sisi tunaamini katika misingi ya chama kwa mujibu wa Azimio la Tabora?

5) Tulikuwa kundi tu tulioumizwa na vyama tulivyokuwamo na tukaamua kuunda chama kupoza hasira zetu tu na sasa hasira zimeisha, hakuna sababu ya chama kuwapo?
[/B.

Hongera Mh Zitto kwa kuwa mkweli. Mawazo hayo yanakuingiza kwenye kundi la wanasiasa waliokomaa.

Kwangu mimi sababu kubwa ya kuhamahama ni kubadilika kwa mitazamo, imani na itikadi ya viongozi wa juu wa vyama vya siasa tofauti na msingi ya vyama vyenyewe. Hii ikichangiwa na nguvu wanayokuwa nayo viongozi, ufinyu wa demokrasia ndani ya chama, na uchu wa madaraka, wanachama/viongozi wasio na uvumilivu, au wanaojitambua huamua kuhama.

Maswali ya Mh Zitto yanahitaji mjadala wa kina.

cc: Mwanahabari Huru, tindo, swissme, Daudi Mchambuzi, kisu cha ngariba, francis12, barafuyamoto, Retired, Erythrocyte, Paskali, jingalao, Nyani Ngabu, MM, Petro E. Mselewa, nk
Natamani kusikia majibu ya Prof Kitila na yule Mwigamba!.......... Juliana na Mwampamba wale walielewka kwa maamuzi yao.......... Yupo na yule Mchange yeye ni kama " popo".
 
Ongeza mfano alioutoa wa kiongozi kubadili uendeshaji wa siasa kutoka kweny kulalamika hadi kutatua changamoto zinazoikabili jamii anayoiongoza
 
Ongeza mfano alioutoa wa kiongozi kubadili uendeshaji wa siasa kutoka kweny kulalamika hadi kutatua changamoto zinazoikabili jamii anayoiongoza
Halmashauri ngapi zipo chini ya upinzani??? Je mikoa kma mpanda ambako upinzani hauna jimbo kabisa itakuwaje ???
 
Halmashauri ngapi zipo chini ya upinzani??? Je mikoa kma mpanda ambako upinzani hauna jimbo kabisa itakuwaje ???
Tunajadili wapinzani ambao kila siku wanavutia katika maongezi yao ya kulalamikia hali ngumu maji nk vitu ambavyo kila mtu anajua ..... Na kuhusu sehemu ya majimbo ambapo hakuna wapinzani basi viongozi wanaweza kufata ushaur ili kufikia malengo
@zittokabwe ametoa ushauri kutokana na hali ya siasa nchini so swali lako kama linataka marumbano ivi.
 
Kwa mara ya kwanza nimguswa na maswali magumu ya Mh Zitto kuhusu hamahama ya Wanasiasa, kama yalivyonukuliwa kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili Desemba 17, 2012.

Nayaweka hapa chini:
1) Je, hakuna sababu za ndani sisi wenyewe zinazokimbiza wanachama wetu? Kama zipo ni zipi?

2) Je, ni sababu ambazo tunaweza kuzirekebisha na kukiimarisha chama?

3) Kama ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu tunafanya nini ili kuzikabili?

4) Je, bado sisi tunaamini katika misingi ya chama kwa mujibu wa Azimio la Tabora?

5) Tulikuwa kundi tu tulioumizwa na vyama tulivyokuwamo na tukaamua kuunda chama kupoza hasira zetu tu na sasa hasira zimeisha, hakuna sababu ya chama kuwapo?
[/B.

Hongera Mh Zitto kwa kuwa mkweli. Mawazo hayo yanakuingiza kwenye kundi la wanasiasa waliokomaa.

Kwangu mimi sababu kubwa ya kuhamahama ni kubadilika kwa mitazamo, imani na itikadi ya viongozi wa juu wa vyama vya siasa tofauti na msingi ya vyama vyenyewe. Hii ikichangiwa na nguvu wanayokuwa nayo viongozi, ufinyu wa demokrasia ndani ya chama, na uchu wa madaraka, wanachama/viongozi wasio na uvumilivu, au wanaojitambua huamua kuhama.

Maswali ya Mh Zitto yanahitaji mjadala wa kina.

cc: Mwanahabari Huru, tindo, swissme, Daudi Mchambuzi, kisu cha ngariba, francis12, barafuyamoto, Retired, Erythrocyte, Paskali, jingalao, Nyani Ngabu, MM, Petro E. Mselewa, nk
Maswali yana mashiko ila mawazo yako hayo natofautiana nayo sidhani kma wanahama sababu ya itikadi au msingi ya chama kukiukwa ila nadhani wanahama sababu ya personal political ambitions basi

Mfano huwezi niambia nyalandu kahama ccm sababu imekiuka misingi ya kuanzishwa kwake!! Cha kujiuliza angekuwa wazir angehama?? CCM miaka zaidi ya 20 inalalamikiwa imekiuka misingi ilioachwa na nyerere na sasa imekuwa ya kifisadi je mbona hatukumsikia akihama ila anahama muda ambapo CCM inaonekana inataka kufanya mabadiliko ya kiutendaji wa serikali??? Huoni ni political ambition

Kwa wanaohama upinzani mf kafulila patrobas msando mwigamba n.k jiulize misingi ipi ya kuundwa kwa upinzani imekiukwa?? Kma mtasema kupokea mafisadi je wanapoenda huko CCM mbona miaka yao yote wakiwa upinzani wametuaminisha kuwa CCM ni chama cha mafisadi sasa je kumkimbia fisadi mmoja na kwenda kwenye mafisadi maelfu ipi ni worse??? Je ni itikadi imewakimbiza??? Huoni labda ni political ambitions

Conclusion yangu naona wengi wanahama kwa sababu ya maslahi binafsi wengine wanaogopa wakibaki upinzani 2020 hawapati jimbo sababu labda wameona demokrasia imekufa..... Wengine kutoka CCM labda wamekosa uwaziri wameona watakufa kisiasa hivyo anakimbilia upinzani ili aendelee kuwa kwenye limelight ila sioni wapi kinachowakimbiza ni itikadi labda kma akihama mtu kma baregu au mnyika au lisu maana hao ni wapinzani haswaaa hapo nitaamini kuwa kuna mahali misingi imekiukwa

Ahsante
 
Tunajadili wapinzani ambao kila siku wanavutia katika maongezi yao ya kulalamikia hali ngumu maji nk vitu ambavyo kila mtu anajua ..... Na kuhusu sehemu ya majimbo ambapo hakuna wapinzani basi viongozi wanaweza kufata ushaur ili kufikia malengo
@zittokabwe ametoa ushauri kutokana na hali ya siasa nchini so swali lako kama linataka marumbano ivi.
Zitto alitoa mfano wa meya wa upinzani huko venezuela sasa najiuliza kwa maeneo ambayo upinzani hauna halmashauri vyama vitajipenyezaje ilihali siasa mpaka 2020???

Je halmshauri takriban 30 zinazoongozwa na upinzani zikifanyiwa maendeleo je zinatosha kuustawisha upinzani nchi nzima??

Haya ni maswali ya kujiuliza kabla hujaunga mkono hoja ya zitto na kuanza kuwasema wanaolialia
 
Ongeza mfano alioutoa wa kiongozi kubadili uendeshaji wa siasa kutoka kweny kulalamika hadi kutatua changamoto zinazoikabili jamii anayoiongoza
Siasa ni mwongozo wa maisha ya kila siku ya kinadamu, ukiunganisha na imani ya dini, mila na tamaduni, binadamu anakuwa timilifu.

Swali, linalogusa watu kuhana chama: Je, sera, itikadi na imani za chama zinatekelezwa na viongozi kwa maneno na vitendo? Nafasi ya mwanachama mmoja mmoja katika utekelezaji huo ni wa kiwango gani?
 
Zitto alitoa mfano wa meya wa upinzani huko venezuela sasa najiuliza kwa maeneo ambayo upinzani hauna halmashauri vyama vitajipenyezaje ilihali siasa mpaka 2020???

Je halmshauri takriban 30 zinazoongozwa na upinzani zikifanyiwa maendeleo je zinatosha kuustawisha upinzani nchi nzima??

Haya ni maswali ya kujiuliza kabla hujaunga mkono hoja ya zitto na kuanza kuwasema wanaolialia
Point ya msingi ni kuunga mkono kilicho bora na chenye kuleta maendeleo na sio kuunga mkono upinza hata kama ni upinzani basi wenye maendeleo na sio wakupiga kelele tubadilike wapinzani
 
Ni maswali tafakuri.
Hongera Zitto.

Wanasiasa wengi wanajiunga na siasa kwa malengo si ya kuiongoza jamii bali kuboresha maisha yao.

Ikitokea malengo yao kutotimia utafuta kule wanapoona maisha yao yataboreka.

Kwa mara ya kwanza nimguswa na maswali magumu ya Mh Zitto kuhusu hamahama ya Wanasiasa, kama yalivyonukuliwa kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili Desemba 17, 2012.

Nayaweka hapa chini:
1) Je, hakuna sababu za ndani sisi wenyewe zinazokimbiza wanachama wetu? Kama zipo ni zipi?

2) Je, ni sababu ambazo tunaweza kuzirekebisha na kukiimarisha chama?

3) Kama ni sababu zilizo nje ya uwezo wetu tunafanya nini ili kuzikabili?

4) Je, bado sisi tunaamini katika misingi ya chama kwa mujibu wa Azimio la Tabora?

5) Tulikuwa kundi tu tulioumizwa na vyama tulivyokuwamo na tukaamua kuunda chama kupoza hasira zetu tu na sasa hasira zimeisha, hakuna sababu ya chama kuwapo?
[/B.

Hongera Mh Zitto kwa kuwa mkweli. Mawazo hayo yanakuingiza kwenye kundi la wanasiasa waliokomaa.

Kwangu mimi sababu kubwa ya kuhamahama ni kubadilika kwa mitazamo, imani na itikadi ya viongozi wa juu wa vyama vya siasa tofauti na msingi ya vyama vyenyewe. Hii ikichangiwa na nguvu wanayokuwa nayo viongozi, ufinyu wa demokrasia ndani ya chama, na uchu wa madaraka, wanachama/viongozi wasio na uvumilivu, au wanaojitambua huamua kuhama.

Maswali ya Mh Zitto yanahitaji mjadala wa kina.

cc: Mwanahabari Huru, tindo, swissme, Daudi Mchambuzi, kisu cha ngariba, francis12, barafuyamoto, Retired, Erythrocyte, Paskali, jingalao, Nyani Ngabu, MM, Petro E. Mselewa, nk
 
Siasa ni mwongozo wa maisha ya kila siku ya kinadamu, ukiunganisha na imani ya dini, mila na tamaduni, binadamu anakuwa timilifu.

Swali, linalogusa watu kuhana chama: Je, sera, itikadi na imani za chama zinatekelezwa na viongozi kwa maneno na vitendo? Nafasi ya mwanachama mmoja mmoja katika utekelezaji huo ni wa kiwango gani?
Hilo ni swali ambalo mh zitto anataka kila mmoja ajiulize mwenyewe katika nafs yake ( kuna sababu ya kutafakari) j
Je sababu za Hawa kuhama zipo ndani yetu ??? Swali hilo lilikuwa na maana sawa na unaxhouliza sasa ref: hapo juu
 
Maswali yana mashiko ila mawazo yako hayo natofautiana nayo sidhani kma wanahama sababu ya itikadi au msingi ya chama kukiukwa ila nadhani wanahama sababu ya personal political ambitions basi
..
Kwa wanaohama upinzani mf kafulila patrobas msando mwigamba n.k jiulize misingi ipi ya kuundwa kwa upinzani imekiukwa?? Kma mtasema kupokea mafisadi je wanapoenda huko CCM mbona miaka yao yote wakiwa upinzani wametuaminisha kuwa CCM ni chama cha mafisadi sasa je kumkimbia fisadi mmoja na kwenda kwenye mafisadi maelfu ipi ni worse??? Je ni itikadi imewakimbiza??? Huoni labda ni political ambitions

Conclusion yangu naona wengi wanahama kwa sababu ya maslahi binafsi wengine wanaogopa wakibaki upinzani 2020 hawapati jimbo sababu labda wameona demokrasia imekufa....
Ahsante

Kama nilivyodokeza kwenye mada kuu, kuna umhimu wa kujadili kwa kina sababu za hamahama ya hasa viongozi kwenye vyama vya siasa. Kama sababu ni hizo zako zitto junior, au nilizotoa, bado maswali aliyouliza Mh Zitto, akiwa kiongozi wa juu wa chama cha Siasa, ACT Mzalendo, ni ya msingi sana.

Wasema sababu labda wameona demokrasia imekufa ni hoja ya mjadala pia. Demokrasia imekufa ndani ya vyama au nje ya hivyo vyama?

Naamini kila jambo baya au zuri huanzia chini (at micro or grassrooy levels). Itakuwa vigumu kudai demokrasia iwapo ndani ya vyama hakuna demokrasia. Na ukweli usiopingika, japo umefichika, ni kwamba wote wanaohama vyama vyao vya siasa ni sababu ya ufinyu wa demokrasia (katika tafsiri ya vyama vya upinzani). Tafsiri yake ni kuwa na uwanja mpana wa mawazo na ndoto. Na uwanja huo unaminywa kwa sababu ulizozisema (maandishi mekundu).

Si kila kiongozi anatambua, kuamini na kuishi kwenye falsafa ya CHEO NI DHAMANA
 
Tunajadili wapinzani ambao kila siku wanavutia katika maongezi yao ya kulalamikia hali ngumu maji nk vitu ambavyo kila mtu anajua ..... Na kuhusu sehemu ya majimbo ambapo hakuna wapinzani basi viongozi wanaweza kufata ushaur ili kufikia malengo
@zittokabwe ametoa ushauri kutokana na hali ya siasa nchini so swali lako kama linataka marumbano ivi.
Hujawaelewa wapinzani, hujamwelewa Zitto.
 
Kama nilivyodokeza kwenye mada kuu, kuna umhimu wa kujadili kwa kina sababu za hamahama ya hasa viongozi kwenye vyama vya siasa. Kama sababu ni hizo zako zitto junior, au nilizotoa, bado maswali aliyouliza Mh Zitto, akiwa kiongozi wa juu wa chama cha Siasa, ACT Mzalendo, ni ya msingi sana.

Wasema sababu labda wameona demokrasia imekufa ni hoja ya mjadala pia. Demokrasia imekufa ndani ya vyama au nje ya hivyo vyama?

Naamini kila jambo baya au zuri huanzia chini (at micro or grassrooy levels). Itakuwa vigumu kudai demokrasia iwapo ndani ya vyama hakuna demokrasia. Na ukweli usiopingika, japo umefichika, ni kwamba wote wanaohama vyama vyao vya siasa ni sababu ya ufinyu wa demokrasia (katika tafsiri ya vyama vya upinzani). Tafsiri yake ni kuwa na uwanja mpana wa mawazo na ndoto. Na uwanja huo unaminywa kwa sababu ulizozisema (maandishi mekundu).

Si kila kiongozi anatambua, kuamini na kuishi kwenye falsafa ya CHEO NI DHAMANA
Mkuu hapa natofautiana tena na wewe unaposema ufinyu wa demokrasia ndani ya vyama najiuliza kivp miaka yote kafulila na kina kitila walidai ili upate uongozi CCM ni lazima uwe na pesa na uhonge je kma demokrasia ndio imewaondoa chadema kivp waende kwenye chama ambacho wao wenyewe walisema hakina demokrasia maana lazma uhonge ndio upate fursa za uongozi??

2. Nakumbuka kitila akihojiwa clouds 360 alidai kwamba Magufuli anaminya demokrasia na analeta udikteta na akaenda mbali zaidi kuhoji kivp hakushindanishwa na mtu kwenye uchaguzi wa uenyekiti wa chama!!!! Pia msando na yye aliwahi lalamika kuwa magufuli ni dikteta hasa baada ya matukio ya unyama kwa wapinzani na akaenda mbali kudai CCM wanamuogopa na hakuna anayeweza kumshauri sababu magufuli ni dikteta anaona mawazo yake ndio kila kitu sasa najiuliza kma udikteta lets say wa mbowe ndio umewakimbiza chadema wakaenda ACT na sasa CCM je ni lini magufuli ameacha udikteta waliokuwa wanaulalamikia na hta kudai CCM inamuogopa je ni lini ccm wameacha kumuogopa magufuli??

Bado naconclude kuwa kilichowakimbiza ni maslahi binafsi sababu kma issue ni demokrasia hao hao kwa nyakati tofauti walidai CCM hakuna demokrasia mpka uhonge!!!
 
Mkuu hapa natofautiana tena na wewe unaposema ufinyu wa demokrasia ndani ya vyama najiuliza kivp miaka yote kafulila na kina kitila walidai ili upate uongozi CCM ni lazima uwe na pesa na uhonge je kma demokrasia ndio imewaondoa chadema kivp waende kwenye chama ambacho wao wenyewe walisema hakina demokrasia maana lazma uhonge ndio upate fursa za uongozi??

2. Nakumbuka kitila akihojiwa clouds 360 alidai kwamba Magufuli anaminya demokrasia na analeta udikteta na akaenda mbali zaidi kuhoji kivp hakushindanishwa na mtu kwenye uchaguzi wa uenyekiti wa chama!!!! Pia msando na yye aliwahi lalamika kuwa magufuli ni dikteta hasa baada ya matukio ya unyama kwa wapinzani na akaenda mbali kudai CCM wanamuogopa na hakuna anayeweza kumshauri sababu magufuli ni dikteta anaona mawazo yake ndio kila kitu sasa najiuliza kma udikteta lets say wa mbowe ndio umewakimbiza chadema wakaenda ACT na sasa CCM je ni lini magufuli ameacha udikteta waliokuwa wanaulalamikia na hta kudai CCM inamuogopa je ni lini ccm wameacha kumuogopa magufuli??

Bado naconclude kuwa kilichowakimbiza ni maslahi binafsi sababu kma issue ni demokrasia hao hao kwa nyakati tofauti walidai CCM hakuna demokrasia mpka uhonge!!!

Huyo Mwengeso amebeba mambo fulani aliyohoji Zitto akidhani ni maswali ya kuumiza upinzani na kuibeba ccm. Na sehemu iliyomvutia ni hapo pa watu kuondoka upinzani kwenda ccm.
 
Back
Top Bottom