Maswali magumu kuhusu kifo cha polisi

Maswali magumu kuhusu kifo cha polisi

Sasa wanakataa kwamba Askari hakupigwa na wenzake na bado wanasema kama kuna mtu ana ushahidi wa hilo ajitokeze kulisaidia jeshi la polisi! Kwann wasiseme hawana uhakika kwamba alipigwa na askar wenzake kwa bahati mbaya
 
Kama ni mtu mmoja ameua kamanda huyo mkuu wa opareshen bas jesh la polisi si salama
Hivyo jeshi linahitaji mafunzo ya ziada hata kama ni majambaz kumi bado hali ya polisi huku nje inaonekana hamko shwari

Ni vema wazir akfanya marekebisho makubwa ya kimafunzo ndani ya jeshi la polisi na namna ya kzfanya detective
 
Kwani Kamanda Sirro si alisema atatoa taarifa jumanne,sasa hii haraka imetokea wapi? Mwandishi wa Mtanzania anataka kuuaminisha umma kuwa kuna kisasi. Labda ajue kuwa marehemu Thomas huko Mirerani hakuwa anaongoza kikosi cha kupambana na uhalifu,bali alikuwa mkuu wa kituo OCS wa Mirerani hapo,binafsi nimemfahamu akiwa Mkaguzi (Inspector) na tayari akiwa ni mkuu wa hicho kituo. Mali za marehemu zote alizopata,alizipata kwa kuzama na kuchimba Madini kama Mwana Apolo yeyote hapo mgodini na sio kwa upolisi wake. Hawa waandishi wanahitaji kuandika habari zenye kuzua hisia wajiridhishe kwanza na vyanzo vyao vya habari. Maziko yake yatafanyika kwao kwa taratibu za kijeshi ikiwemo kupiga risasi na risala na rambi rambi huko kwao
 
halafu kwenye hiyo nyumba iliyoshambuliwa ametoka mama na mtoto wa miezi miwili yaani mpaka hapo npo njia panda nyumba ipigwe risasi kwa mzunguko watu watoke hai haya yatakuwa maajabu ya TANZANIA
 
Magazet sio ya kuyaamin.. Vichwa vya habari kw lengo la kuvutia tu ndan hakun kitu
 
Kwani Kamanda Sirro si alisema atatoa taarifa jumanne,sasa hii haraka imetokea wapi? Mwandishi wa Mtanzania anataka kuuaminisha umma kuwa kuna kisasi. Labda ajue kuwa marehemu Thomas huko Mirerani hakuwa anaongoza kikosi cha kupambana na uhalifu,bali alikuwa mkuu wa kituo OCS wa Mirerani hapo,binafsi nimemfahamu akiwa Mkaguzi (Inspector) na tayari akiwa ni mkuu wa hicho kituo. Mali za marehemu zote alizopata,alizipata kwa kuzama na kuchimba Madini kama Mwana Apolo yeyote hapo mgodini na sio kwa upolisi wake. Hawa waandishi wanahitaji kuandika habari zenye kuzua hisia wajiridhishe kwanza na vyanzo vyao vya habari. Maziko yake yatafanyika kwao kwa taratibu za kijeshi ikiwemo kupiga risasi na risala na rambi rambi huko kwao
Kwani alikuwa tajiri
 
Wizara ya Mambo ya Ndani inaongoza kwa kubadilishwa Mawaziri..kati yao ni Mzee Mwinyi tu ndio alikuwa muadilifu maana alijiuzulu bila ya kushurutishwa ila hawa wengine ni wanatetea jambo wasilolijua hadi wanaondoka kwa FEDHEHA kama ilivyotokea kwa Mapuri.. Mwigulu punguza siasa katika Wizara nyeti kama hiyo
 
Wizara ya Mambo ya Ndani inaongoza kwa kubadilishwa Mawaziri..kati yao ni Mzee Mwinyi tu ndio alikuwa muadilifu maana alijiuzulu bila ya kushurutishwa ila hawa wengine ni wanatetea jambo wasilolijua hadi wanaondoka kwa FEDHEHA kama ilivyotokea kwa Mapuri.. Mwigulu punguza siasa katika Wizara nyeti kama hiyo
mkuu hapo kwenye red nakuunga mkono kwa asimilia 100%
 
Wako busy kuja na utunzi bora, maana wanajua wameshastukiwa na utunzi wao wa kwanza.

Pasco kanena vyema. Matukio mengine taarifa inatoka ndani ya saa, hii ni siku kadhaa, kujipanga?!!
 
Back
Top Bottom