Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
WASALAAM
Ndugu wapendwa mabibi na mabwa
Napenda kufahamu kwa wale ambao walishawahi kufanya interview utumishi kwa usaili wa WATENDAJI WA KATA
Huwa yanaulizwa maswali ya aina gani maana mimi nimebahatika kuitwa nikafanye usaili sasa sijawahi kufanya usaili kwa kada hiyo
kwa ambae anafahamu basi asisite kunipa mwanga ama kutupa mwanga hata kwa niaba ya wale ambao hawajapata fursa ya kuuliza hapa swali
NATANGULIZA SHUKRANI
Ndugu wapendwa mabibi na mabwa
Napenda kufahamu kwa wale ambao walishawahi kufanya interview utumishi kwa usaili wa WATENDAJI WA KATA
Huwa yanaulizwa maswali ya aina gani maana mimi nimebahatika kuitwa nikafanye usaili sasa sijawahi kufanya usaili kwa kada hiyo
kwa ambae anafahamu basi asisite kunipa mwanga ama kutupa mwanga hata kwa niaba ya wale ambao hawajapata fursa ya kuuliza hapa swali
NATANGULIZA SHUKRANI