Anauliza
Kuhusu kuwawajibisha wabunge wasiotimiza majukumu yao vema huku wanapewa fedha na serikali
wabunge wanatokana na vyma fulani fulani CUF, CDM na kadhalika, utaratibu uliowekwa na serikali kutekeleza wajibu wako kwa hiyo serikali inafanya jukumu ka kuwawezesha kutimiza wajibu wao na watawajibishwa na wananchi
Mh. Regia anasisitiza serikali lazima iwamonite kwa kuwa fedha hizo zinakaguliwa na CAG
PM: anasisitiza kila chama kina jukumu kwa wabunge wake na si busara kuingiza serikali katika jukumu jingine na gharama za kuunda chombo kipya kuwasimamia wabunge