Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #501
Mwanakijiji,wewe ni mtu wa media sioni tofauti na Pasco mzee wa vibahasha.
Huko ulipo unaweza ukawa unakula vibasha vya kutosha ukija bongo ndiyo usiseme.
Waandishi wa habari wa Afrika ni bendera fuata Pesa tu.
MMM ni sehemu ya Watanzania wachache sana wenye uwezo mzuri wa uchambuzi wa mambo ya kisiasa, amekuwa msaada mkubwa kwa wanasiasa wengi, hata mimi amenisaidia sana kupata ujuzi wa kuziangaza siasa za kiswahili.
Kama tulivyo binadamu, Mwanakijiji nae ana matatizo yake, na hili ni sehemu ya tatizo tajwa,
Last edited by a moderator: